Kunywa maji kulingana na uzito wako

Kunywa maji kulingana na uzito wako

Pastor Achachanda

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2012
Posts
3,023
Reaction score
1,315
53b09c7fa279c90c1c1cde41192a3c8e.jpg
 
Asante xn nalifnyia kazi mana wabongo kunywa maji adi aone muhuri wa daktari
 
Asante kwa taarifa lakini kuna usemi wadau wengi husema kwa siku angalau unywe maji lita 5.
 
Asante kwa taarifa lakini kuna usemi wadau wengi husema kwa siku angalau unywe maji lita 5.
Unywaji wa maji hutegemea hasa na uzito wa mnyaji kama kielelezo husika.Hicho ni cha kisayansi.Kunywa maji kupita kiasi unaiovaweki figo.Tafadhali kunywa kistaarabu!
 
Back
Top Bottom