Wahindi wana urine therapy, unakunywa mkojo wako wa asubuhi (kila siku nafikiri), mambo yako yanakua safi. Google utaipata kwa kirefu
hao wanajiongelea tu,Mkojo wa bia unajua wewe?halafu ukutane na ule ambao mlevi mwenyewe huwa hanywi maji..
mkojo wa wabongo full ma UTI