Aisha Adam
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 460
- 104
Unamaanisha wenye ndoa zenye matatizo hawakuomba wakati wa uchumba? Na mbona wengine wanaishi kwa misingi ya kidunia (ushirikina) na ndoa zao ziko katika utulivu? Unamkuta baba ni kama ***** hana muda wala wa kufatilia lolote, mwanamke aende club arudi alfajiri hakuna kuulizwa - hawana mgogoro hata kidogo. Wasemaje kuhusu hilo?
Nimekuelewa kiongozi - si kwenye mabaa wala makanisani, wanakwaya wanabanjuanaa, maofisini wakitoka wanapita wanakokujua, kwenye sehemu za kazi mbalimbali tunayaona - utasikia wanasema mke wa fulani huwa anachukuliwa na kijana fulani. Imefikia hatua ya watu kufanyiana ubaya sababu ya ngono. Wataka kunambia unakoishi mambo hayo hayapo?nimeshakujibu hapo juu
bora a bad wife than a no wife
kingine muhimu,
waswahili wanasema ukikaa karibu na waridi na wewe utanukia....
hebu kaa karibu na wanawake unaowaona wanafaa hata kama wameolewa
au na wanaume waliiooa wanawake unaowakubali
uone inavyokuwa..
unaweza sema wanawake wote ovyo,kumbe unashinda bar
na wanawake unaowajua ni ma bar maid peke yake
Kwasababu ilikua inafanana na mimi ehhh?!Cake ya harusi ninaikumbuka zaidi
Nimekuelewa kiongozi - si kwenye mabaa wala makanisani, wanakwaya wanabanjuanaa, maofisini wakitoka wanapita wanakokujua, kwenye sehemu za kazi mbalimbali tunayaona - utasikia wanasema mke wa fulani huwa anachukuliwa na kijana fulani. Imefikia hatua ya watu kufanyiana ubaya sababu ya ngono. Wataka kunambia unakoishi mambo hayo hayapo?
Mambo ya ushirikina yana mwisho wake yakiwageuka ndo wataiona dunia ilivyochungu, au nawewe unafurahi maisha mwanaume kukaa kama zezeta ndani ya nyumba. Hebu mtangulize mungu yote yatawezekana
Mbona haujazungumza wanaume ambao sio waaminifu?Umewasakama dada/mama zetu kama vile wao tu ndo wanaovuruga ndoa,kuna wanaume ni kero,hawafai kuitwa baba!
Hutojitendea haki kwa lipi?!Kumjulisha mtu kama uko ndani au nje ya ndoa hakukupunguzii chochote zaidi ya kuwafumbua macho wanaopokea michango yako kwa kufahamu kama unayosema umeyapitia...umeona au umefikiria tu!!Kweli hapa ni sehemu ya kutangaziana marital status?? Naffikiri nitakuwa sijajitendea haki mimi mwenyewe.Wewe umeoa?
Daaahhh haya mkuu Naona una majibu ya kunyaMambo madogo tu lakini.Hapo juu naona umewakandamizaTu wanawake Je wanaume hawatoki ndani ya ndoa zao?Anyway kama umeoa yaelekea humuaminiMamito wako.. pole Kama hujaoa acha kuongea utumbo.Subiri upitie kwanza ....Kweli hapa ni sehemu ya kutangaziana marital status?? Naffikiri nitakuwa sijajitendea haki mimi mwenyewe.Wewe umeoa?