Frankdaniel711
JF-Expert Member
- Oct 8, 2018
- 366
- 140
Kuna wengine ambao hawana barakaKama mmependana mnaweza kufahamishana kwa wazazi na kufanya harusi ndogo ya dini. Mkipata pesa huko baadae mfanye reception.
Mke ana baraka na analecta discipline katika maisha.
GOOD POINT UBARIKIWE SANA.Kama mmependana mnaweza kufahamishana kwa wazazi na kufanya ndoa ya dini. Mkipata pesa huko baadae mfanye reception.
Mke ana baraka na analecta discipline katika maisha.
Hahaha mnapishana na Mungu, lazima uchezee vitasa..Wakati wewe unapanga upate hela ndio uoe, Mungu kakupangia uoe kwanza ndio upate hela[emoji3][emoji3][emoji3]
Haposasa na sasa utajuwajeWakati wewe unapanga upate hela ndio uoe, Mungu kakupangia uoe kwanza ndio upate hela[emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe umeoa kakaOWA KWANZA MAMBO YA PESA MTAYAPANGILIA MKIWA WAWILI BAADAE.
NIKO NDANI YA NDOA MWAKA WA NANE HUUWewe umeoa kaka
Kama mmependana mnaweza kufahamishana kwa wazazi na kufanya ndoa ya dini. Mkipata pesa huko baadae mfanye reception.
Mke ana baraka na analecta discipline katika maisha.
Kuna wengine ambao hawana baraka
binafis sijui kipi nikipi hebu tujuzane kijana ni bora aoe kwanza ndio atafute pesa au atafute pesa kwanza ataoa badae kipi ni kipi tujuzane
Yeah, halafu wanaamini kila ndoa ni barakaNi mikosi mfululizo...mie kuna demu tuu niligegeda ebwana huo mwezi ilikuwa full majanga...sasa ukioa sii ndio unakuwa umejizika