Kuoa kwanza au pesa kwanza?

Kama mmependana mnaweza kufahamishana kwa wazazi na kufanya ndoa ya dini. Mkipata pesa huko baadae mfanye reception.

Mke ana baraka na analecta discipline katika maisha.
...Nimekuelewa kiny@m@!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…