Frankdaniel711 JF-Expert Member Joined Oct 8, 2018 Posts 366 Reaction score 140 Aug 3, 2020 Thread starter #21 kalemauji said: NIKO NDANI YA NDOA MWAKA WA NANE HUU Click to expand... Basi ni vizuri ukutujuza wengine changamoto unazo kutana nazo kuhusu pesa na ulioa ukiwa nazo au auna pesa zaidi ya mahali ulizotoa
kalemauji said: NIKO NDANI YA NDOA MWAKA WA NANE HUU Click to expand... Basi ni vizuri ukutujuza wengine changamoto unazo kutana nazo kuhusu pesa na ulioa ukiwa nazo au auna pesa zaidi ya mahali ulizotoa
FOX21 JF-Expert Member Joined Oct 12, 2018 Posts 493 Reaction score 916 Aug 11, 2020 #22 Sky Eclat said: Kama mmependana mnaweza kufahamishana kwa wazazi na kufanya ndoa ya dini. Mkipata pesa huko baadae mfanye reception. Mke ana baraka na analecta discipline katika maisha. Click to expand... ...Nimekuelewa kiny@m@!!
Sky Eclat said: Kama mmependana mnaweza kufahamishana kwa wazazi na kufanya ndoa ya dini. Mkipata pesa huko baadae mfanye reception. Mke ana baraka na analecta discipline katika maisha. Click to expand... ...Nimekuelewa kiny@m@!!
RRONDO JF-Expert Member Joined Jan 3, 2010 Posts 55,727 Reaction score 123,094 Aug 11, 2020 #23 kalemauji said: GOOD POINT UBARIKIWE SANA. Click to expand... kalemauji said: OWA KWANZA MAMBO YA PESA MTAYAPANGILIA MKIWA WAWILI BAADAE. Click to expand... kalemauji said: NIKO NDANI YA NDOA MWAKA WA NANE HUU Click to expand... Mbona unatufokea?
kalemauji said: GOOD POINT UBARIKIWE SANA. Click to expand... kalemauji said: OWA KWANZA MAMBO YA PESA MTAYAPANGILIA MKIWA WAWILI BAADAE. Click to expand... kalemauji said: NIKO NDANI YA NDOA MWAKA WA NANE HUU Click to expand... Mbona unatufokea?
M maliyamacho aidan New Member Joined Aug 10, 2020 Posts 1 Reaction score 0 Aug 11, 2020 #24 Yote heri angalia wakati huo mungu anakuvutia wapi