Kuoana bila kutaka watoto - yawezekana?

hapa BONGO hilo halipo, labda muwe na matatizo ya kiafya, We dont do what we actually want to do ourself😛opcorn:
 

Watu hushangilia NDOA IMEJIBUUUUU!!! :clap2:
Hapo kwenye bluu mpaka kuiba mtoto wa mwenzio, we need to change:roll:
 
Rafiki yangu mmoja kwa sababu za kibinafsi ameamua kutuma ujumbe huu:

 
Mimi ningefurahi sana kumpata mwanaume ambaye hatataka kuning'ang'aniza kuzaa. Kuwa na watoto siyo lazima tuzae tunaweza kulea watoto wa kuasili au wa ndugu zetu.Sijali maneno ya watu .

Kina kaka mnasemaje?
 
Mimi ningefurahi sana kumpata mwanaume ambaye hatataka kuning'ang'aniza kuzaa. Kuwa na watoto siyo lazima tuzae tunaweza kulea watoto wa kuasili au wa ndugu zetu.Sijali maneno ya watu .

Kina kaka mnasemaje?

nadhani wapo wa kaka wa namna hiyo.. mpigie BWANA magoti tu utashangaa alivyo na namna ya kujibu.
 
Shetani ana bidii sana, analeta style za maisha fulani fulani hivi na zinapata ushabiki na uanachama kabisa. Hata hivyo jamii ya kifamilia itaendelea kuwepo tu mpaka mwisho wa dahali, regardless hizi mbinu za Freemason zitakazowakamata baadhi ya wanadamu.
 
.......Hivi inakuwaje wanandoa kuamua kutozaa na huku wana uwezo wa kuzaa? Kama mmoja wapo ana matatizo hapo hakuna jinsi ni kuvumiliana tu kama ndoa inavyosema.......lakini kama mna kizazi na hamtaki familia kubwa bora kuzaa mtoto hata mmoja.

Mtoto mmoja napo asipokuwa na sibling hata mmoja napo tabu kweli kweli.........ahhhhh!! Hii issue ya wanandoa kuamua kutozaa mie naona haijakaa sawa labda kama wana matatizo kwenye via vya uzazi.
 
Pretty, labda wengine wanaupendo kwa wao wawili tu.. ile sehemu ya "zaendi mkaijaze nchi" inaweza ikafanywa na wengine lol
 

Wewe kweli ni Pretty. Safi sana . . . .wala sina cha kuongezea hapo labda kama kuna mtu anataka ufafanuzi
 
Pretty, labda wengine wanaupendo kwa wao wawili tu.. ile sehemu ya "zaendi mkaijaze nchi" inaweza ikafanywa na wengine lol

Hii ya kusema KUZAA IFANYWE NA WENGINE ndo inaonekana ina sura fulani ya ubinafsi, coz haijali jamii.
 
Ni rahisi kuandika lakini hi kitu tuiache tuu Mungu ndo mpangaji
 
Mimi ningefurahi sana kumpata mwanaume ambaye hatataka kuning'ang'aniza kuzaa. Kuwa na watoto siyo lazima tuzae tunaweza kulea watoto wa kuasili au wa ndugu zetu.Sijali maneno ya watu .

Kina kaka mnasemaje?

sawa Tausi,
hebu angalia huo ujumbe kwenye avatar yako,
nadhani ni jibu tosha la hilo wazo lako hapa!!!!
 
Vip kama mmoja anazaa mwingine hazai halafu mmoja amwombe mwenzie azae nje halafu walee huyo mtoto wote, is it possible kwa africa??
 
 
Ndugu zangu hawatakawia kuniwekea vikao kuwa kwanini sishiki mimba.
Mi nataka watoto, nikitaka mwanaume wa kustarehe naye wapo wengi tu, kuanzia makuli hadi maofisa

bora umesema kweli mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…