Kuolewa na mhamiaji haramu sheria inasemaje?

masanzu

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2013
Posts
605
Reaction score
217
Hbr wanajamvi kuna ndugu yangu kaolewa na raia wa kigeni ambaye anaishi nchi kwa kibari kilicho isha mda wake na juzi katiwa mbaron yy na mme wake.je sheria kwa upande wake muolewaji inasemaje?
 
Wote wana makosa kwa mujibu wa sheria ya uhamiaji
Ni kosa kumuhifashi muhamiaji haramu
Na nikosa kuishi nchini bila kibali kwa mgeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…