Kuolewa ni kuolewa tu kuliko kudanga

Kuolewa ni kuolewa tu kuliko kudanga

Kukudume2013

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2013
Posts
1,659
Reaction score
734
Kwa sasa wimbi la wasichana wasioolewa ni wengi sana wengine ni bikira, wengine ni wajane, wengine ni mashankupe wengine ni vigagosi wengine ni mama huruma.nk

Suluhisho la haya yote ni kukubali uke wenza, yaani ukubali kuolewa mke wa pili au watatu au wanne na hapa ni wewe mwenyewe kuwa tayari tu ukishakuwa tayari hebu shirikisha wadau ktk group lako la dini uliopo au vikundi au hata watu unaowaheshimu au huyo kijana anakutaka kingono mwambie akuoe hata uke wenza wapo watu wengi ambao wako tayari kuoa mke zaidi ya mmoja maana hili litawapunguzia uzinzi nje ya ndoa.

Elewa ewe kijana hakuna mwanaume anayeridhika na mke mmoja hata siku moja ukiona yupo hebu mchunguze utagundua anao vinyumba ndogo vingi pembeni.

Mfano :Leo kijana akisafiri kikazi yupo tayari kule aendako azoe zoe kila malaya ili kujikidhi haja zake za kimwili ambapo ungeoa mke wako wa pili au wa tatu ukitaka kusafiri unasafiri nao kwa zamu.

Zinaa ina madhara matatu:
1.Inarithisha ufakiri
2.Inapunguza umri wa kuishi
3.Inaondoa haiba ya ubinaadamu

Kuolewa uke wenza sio aibu wala sio fedheha.bali zinaa au kuzaa nje ya ndoa ndio ushamba na aibu na fedheha.leo mwanamke akifika miaka 30 na zaidi yupo tayari kuomba apate mtu wa kumzalisha mtoto wakiwa hawajaoana lkn hayupo tayari kuomba kuolewa mke mwenza.uke wenza ni amani ni furaha.ni usasa .ndio kwenda na wakati wa sasa .

Maana ndio suluhisho la haya mambo katika jamii ni kuoa mke wa pili au watatu au wanne ndio zinaaa mijini na majijini itaisha au kupungua kabisa.
 
Suluhu wawe na kigezo kimoja tu watafute wanaume wanaopumua waheshimike haya mambo mengi yakutaka sijui mwanaume wamaana mwenye kazi ya maana au msomi mwenye biashara inayoeleweka

Wakubali kuingia kwenye ndoa na wanaume maskini hakuna lingine Mungu mwenyew ndio huwa ana bless mkiweka jitihada kwa pamoja
 
Tatizo liko kwa hawa dada zetu kila kitu wanajua wao, mpaka UN imeshawapa ushauri lakini wapi acha tuwatembezee rungu mapka watapopata uelewa.

Screenshot_20210706-180314.jpg
 
Hivi ukioa wanawake watatu ni kweli unawafanya au unaoa basi tu nawe uonekane bwanaharusi wa mwaka???
 
Hivi ukioa wanawake watatu ni kweli unawafanya au unaoa basi tu nawe uonekane bwanaharusi wa mwaka???
Ngoja tuwaulize waliooa.lkn kwa vile mwanaume anaweza kuwapiga wanawake hata 7 kwa wiki basi hivyo waanawake 4 ni rahisi.
 
Au ukiolewa ndio hutombwi huko kwenye ndoa?

Kinachokwepwa hapa ni mboo au nini maana mboo ipo kote kote ndani na nje!

Sema kinachotafutwa ni social security hakuna cha mboo anywhere maana zipo kote
Kule kuna kuwa hakuna uhuru na hakuna baraka zake Mungu.hivyo hata ukifamya nje kule baaada tu ya kufanya lazima moyo yako au roho yako itajisikia why nimefanya hii kitu.ni majuto tu kwa masaa hivi mpk ukae sawa .pia kule nje unajikinga na ukimwi na magonjwa mengi hivyo lazima uvae kinga ambapo kuvaa kondom ni sawasawa na kujitomb mwenywe tu lkn ndani ya ndoa ni free muda wako tu
 
I know where you are coming...

I can understand your perspective...

Lakini it is sad nikikuambia "majuto" ni upotevu wa muda

Pia utashangaa sana nikikuambia pia kua "hakuna mungu"....

Hivyo kila tunapoongea wanadamu kuhusu topic yeyote isiyohusu mungu na dini,basi usimteke huyo mungu na hizo dini ukazileta hapo kwenye hayo mazungumzo maana ni njia dhalimu ya kulalamikia kiumbe ambacho hakipo

Wewe ni mwanadamu,think for yourself,use your intution na moral judgement rationally ku-overcome your daily life struggles to obtain maximum comfortability.

Hoja konki ni kwamba nje ya ndoa kuna mboo na ndani ya ndoa kuna mboo,hayo mambo ya mungu and blah blah nadhani unayajua wewe uliongea nae nadhani...
Du kumbe akina afande sele wapo humu
 
Suluhu wawe na kigezo kimoja tu watafute wanaume wanaopumua waheshimike haya mambo mengi yakutaka sijui mwanaume wamaana mwenye kazi ya maana au msomi mwenye biashara inayoeleweka

Wakubali kuingia kwenye ndoa na wanaume maskini hakuna lingine Mungu mwenyew ndio huwa ana bless mkiweka jitihada kwa pamoja
Mkuu kuna uzi humu mdada alikua anatafta mwanaume anae pumua tu,sjui alimpata skumbuki kama alileta mlejesho.
 
Hivi kwanini wanaume ndiyo wanaumia sana kuhusu suala la wanawake kutokuolewa? Mbona wanawake wasioolewa wenyewe hatuwasikii wakilalamika mitandaoni kama wanaume wanavyolalamika kila siku?

Nilichoelewa ni kwamba wanaume wanataka wanawake wakubaliane na umalaya wao na visingizio vya kipumbavu vya eti "mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja"! Mungu alimuumba Adam na akampatia mwanamke mmoja tu Evah!

Mimi naona wenye kuamua kama wanataka ama hawataki uke wenza ni wanawake wenyewe na siyo wanaume! Hizi siasa za kujifanya mnawashauri wakubali kuolewa bila mpangilio ni kutafuta sababu za kuhalalisha umalaya wa wanaume!
 
Hivi kwanini wanaume ndiyo wanaumia sana kuhusu suala la wanawake kutokuolewa? Mbona wanawake wasioolewa wenyewe hatuwasikii wakilalamika mitandaoni kama wanaume wanavyolalamika kila siku?

Nilichoelewa ni kwamba wanaume wanataka wanawake wakubaliane na umalaya wao na visingizio vya kipumbavu vya eti "mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja"! Mungu alimuumba Adam na akampatia mwanamke mmoja tu Evah!

Mimi naona wenye kuamua kama wanataka ama hawataki uke wenza ni wanawake wenyewe na siyo wanaume! Hizi siasa za kujifanya mnawashauri wakubali kuolewa bila mpangilio ni kutafuta sababu za kuhalalisha umalaya wa wanaume!
Hakika kabisaaaah.
 
Back
Top Bottom