Kuolewa raha!


Moniccca yule yule, stori zilezile hii ya leo ni sehemu ya nne bado kumi na nne zinakuja msichoke kukoment. BTW ile ishu yangu umeitupa? Niko very serious tusakanye pesa dada
 
Bado mnamunilaizi? Ikiisha utaona true color. Kibao ushapigwa? Je ushaondoka mesage kutoka ***** , je aisha rudi saa sita ucku na hata hizo za motor hakuna? Je ushaomba help ukaambiwa sina then check M pesa yake ametoa kwa number usioijua? Je ucku anazima Cmu ama iko on? Je ameishawatimua na kutokuwasaidia ndugu zako? Na engine mengi kama haya. Bado use me raha. Hapo ndo uje mnaenda na.
 
hahaah! Monicca! kweli ndoa raha! vipi yule boss wako bado mko nae!
 
Moniccca yule yule, stori zilezile hii ya leo ni sehemu ya nne bado kumi na nne zinakuja msichoke kukoment. BTW ile ishu yangu umeitupa? Niko very serious tusakanye pesa dada
Ishu gani tena mkuu?
 
Waoaji wa zama hizi tuna taabu, 85% ya mabinti ni mapepe kupitiliza na hawafai kuwa wives/mothers. Kama kweli umeolewa huyo mumeo shughuli anayo.

Na kama unatafuta umaarufu si utupie picha za uchi tu, huu umaarufu wa jina fake we unakusaidia nini? Kuna tabia zingine ni ugonjwa na zahitaji msaada wa haraka wa wanasaikolojia.
 
Na kwa jinsi asilimia kubwa tulivyo zero vichwani, huyu ana wafuasi wengi wanaomsupport kwa kila upuuzi anaoufanya. Lakini kwenye mada za msingi za kufikirisha tunamwaga matusi tu!

Mifumo ya elimu itazamwe upya sijui inatuwekea nini vichwani.
 
Na kwa jinsi asilimia kubwa tulivyo zero vichwani, huyu ana wafuasi wengi wanaomsupport kwa kila upuuzi anaoufanya. Lakini kwenye mada za msingi za kufikirisha tunamwaga matusi tu!

Mifumo ya elimu itazamwe upya sijui inatuwekea nini vichwani.
Umesema kweli kbsa maana hata wewe umeongeza idadi yao.
 
ngoja azoee papuche utaisoma namba
 
Umeona eeh! Ndo mtulie ktkt kuchagua kwenu..sio mnajikurupukia tu mtakwenda na maji.
 
oyeeee sion tena huu uchafu naona kablause kablue tu asante jf kwa kuweka ignore list
 
Time will tell after 1 yr utueleze haya haya unayoyasema hapa ,will be 28th April 2017.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…