Maana yake mtoto wa mwanamke mwenye Jinsia ya Kiume lazima apate bahati kutoka kwa MUNGU.Kuwa mtoto wa mama na kuona kua kuoa/olewa ni bahati kunahusiana vipi?
Kuolewa maamuzi.
Hua nashangazwa sana na kauli isemayo "kuolewa ni bahati" toka kwa wanaume na hata wanawake. Kauli hii hua inatoka kwa watu wanaoamini kwamba kwa kuolewa, mwanamke anakua amefanyiwa FAVOUR, AMESAIDIWA au AMEPEWA ZAWADI kana kwamba mwanamke pekee ndie anaefaidika na hiyo ndoa. Na hiyo bahati yenyewe inayotokana na kuolewa huko sio kupata mume ambae anastahili kuitwa mume bali ni kupata mahali pa kulala, chakula na mavazi. Wengine hua wanafika mbali kiasi cha kuwauliza wenzi wao moja kwa moja "unalalamika nini wakati unakula, unalala na unavaa vizuri?" pale mwanamke anapoonyesha kutoridhisha na namna mahusiano yao ndani ndoa yanavyoenda mf. mume kutokua mwaminifu, kutokuwepo nyumbani muda wa kutosha, kulewa sana, kumdharau mkewe n.k .
Ina maana wanawake wanaolewa ili wale, walale na wavae? Walipokua kwa wazazi wao au wakijitegemea waliishi bila kula, kuvaa na kulala ndani ya nyumba?
Kinachonisikitisha ni kuwa baadhi ya wanawake wanaunga mkono mawazo haya. Wanakubali kuchukuliwa kama watu wanaopewa msaada kwa kuolewa.
Binafsi siamini wala sioni ni kwa namna gani "kuolewa ni bahati". Kwangu mimi bahati ipo kwenye kumpata mtu ambae anaelewa nini maana ya ndoa na kuiheshimu ndoa yake, anaempenda mwenzi wake, anaemheshimu mwenzi wake pamoja na mawazo yake, anaemsikiliza mwenzake, anaejielewa na kujitahidi kumwelewa mwenzake, aliye tayari kujitoa kwa mwenzake, anaejua na kutimiza majukumu yake, anaejitahidi kumfurahisha mwenzake kwa maneno na matendo. Vivo hivyo kwa wanaume. . . . wenye bahati sio waliooa bali ni waliooa wanawake wenye sifa nilizotanguliza hapo juu.
Kuoa/kuolewa sio bahati hivyo usibahatishe.
Sio maamuzi ni bahati. Ukizingatia idadi yenu kwa sasa. Mi nina wengi wanaomba usiku na mchana wapate mume..
kuolewa ni nini?Kuolewa ni bahati ukimpata mtu ambae anaelewa nini maana ya ndoa na kuiheshimu ndoa yake, anaempenda mwenzi wake, anaemheshimu mwenzi wake pamoja na mawazo yake, anaemsikiliza mwenzake, anaejielewa na kujitahidi kumwelewa mwenzake, aliye tayari kujitoa kwa mwenzake, anaejua na kutimiza majukumu yake, anaejitahidi kumfurahisha mwenzake kwa maneno na matendo. Vivo hivyo kwa wanaume. . . . wenye bahati sio waliooa bali ni waliooa wanawake wenye sifa nilizotanguliza hapo juu.
Tunasema ni bahati kwa kuwa wenye sifa ulizotaja hapo juu hawako wengi,hivyo ukibahatika kumpata lazima ujione mwenye bahati.
Tena Lizzy kuna wanawake wanatamani tu harusi nae eti avae shela,afanyiwe send off,mawazo ya ndoa na changamoto zake wala hayamuumizi kichwa.....mradi naye katoka kwa wazazi kahamia kwa mwanaume, akazae huko na kuishi huko....!!
hehehe! Mi mwenyewe nina wengi wanataka kunioa ila sijaamua kuolewa.
Kuolewa si bahati, bahati ni kupata mume - a real husband.
Namaanisha, unaweza kuolewa na king'asti, play boy, mlevi, teja, abuser...
Kama kupata mwanamke mwema kutoka kwa Mungu ndio bahati basio KUOA sio bahati ila KUMUOA MWANAMKE ALIYETOKA KWA MUNGU ndio bahati.Maana yake mtoto wa mwanamke mwenye Jinsia ya Kiume lazima apate bahati kutoka kwa MUNGU.
Mwanamke mwema anatoka kwa MUNGU au unasemaje?
Duh sasa uwe na mwanamke ambaye humtamani?Tatizo la baadhi ya wanawake, kama ambavyo ni tatizo la baadhi ya wanaume kutumia kigezo cha sura kuchagua mke.
Nimekupata sasaKama kupata mwanamke mwema kutoka kwa Mungu ndio bahati basio KUOA sio bahati ila KUMUOA MWANAMKE ALIYETOKA KWA MUNGU ndio bahati.
Tatizo la baadhi ya wanawake, kama ambavyo ni tatizo la baadhi ya wanaume kutumia kigezo cha sura kuchagua mke.
Kitendo cha kuolewa ni bahati hayo mengine ni matokeo tu. Na mara nyingi husababishwa na tamaa na uchu wa mali wa akina dada wengi. Wachumba wazuri wanaojiheshimu ila wasio na uwezo hukataliwa kwa misingi ya kukosa mali. Mifani ninayo mingi sana.
kuolewa ni nini?
Acha kuudanganya uma sema kilichopo moyoni mwako.
Kuolewa ni bahati ukimpata mtu ambae anaelewa nini maana ya ndoa na kuiheshimu ndoa yake, anaempenda mwenzi wake, anaemheshimu mwenzi wake pamoja na mawazo yake, anaemsikiliza mwenzake, anaejielewa na kujitahidi kumwelewa mwenzake, aliye tayari kujitoa kwa mwenzake, anaejua na kutimiza majukumu yake, anaejitahidi kumfurahisha mwenzake kwa maneno na matendo. Vivo hivyo kwa wanaume. . . . wenye bahati sio waliooa bali ni waliooa wanawake wenye sifa nilizotanguliza hapo juu.
Tunasema ni bahati kwa kuwa wenye sifa ulizotaja hapo juu hawako wengi,hivyo ukibahatika kumpata lazima ujione mwenye bahati.
Tena Lizzy kuna wanawake wanatamani tu harusi nae eti avae shela,afanyiwe send off,mawazo ya ndoa na changamoto zake wala hayamuumizi kichwa.....mradi naye katoka kwa wazazi kahamia kwa mwanaume, akazae huko na kuishi huko....!!