Kuomba mkopo

Otman Moood

Member
Joined
Jul 12, 2022
Posts
27
Reaction score
12
Habarini na poleni kwa majukumu,

Naomba kuulza ivi kuomba mkopo wa elimu ya just Ni lazima niende internet cafe? Cwezi omba kwenye cmu in case issues zitazonilazimu Kama kuprint ndo niende stationary?
 
Kwa ufanisi zaidi ni bora uende internet cafe au utumie Pc maana kutumia simu inasumbua sana wakati mwengine page inakuwa kubwa ila space na uwezo wa simu unakuwa mdogo kiasi cha kushindwa kudisplay baadhi ya maandishi vizuri.
 
Vilevile utahitaji kuscan pictures na documents hivyo lazima stationery ihusike , kwa uzoefu wangu kipindi hiki cha kuaplay wenye stationery wanawatoza watu gharama kubwa tofauti na uhalisia na ukifanya mwenyewe bila uzoefu kuna hatari kubwa ya kukosea kwani hata picha unazoziattach HELSB wana size maalumu na format hivyo zinatakiwa mtu kabla ya kuattach aziconvert ili kukidhi vigezo.
 
Kwa ufanisi zaidi ni bora uende internet cafe au utumie Pc maana kutumia simu inasumbua sana wakati mwengine page inakuwa kubwa ila space na uwezo wa simu unakuwa mdogo kiasi cha kushindwa kudisplay baadhi ya maandishi vizuri.
supported
 
Habarini na poleni kwa majukumu,

Naomba kuulza ivi kuomba mkopo wa elimu ya just Ni lazima niende internet cafe? Cwezi omba kwenye cmu in case issues zitazonilazimu Kama kuprint ndo niende stationary?
Smartphone unayo kwann ukatoe hela steshonar mze, scan documents zinazotakiwa weka kweny cm zikihitajika unaziattach kupitia cm, upande wa paspot kuna apps/webs zipo zinahusika kusize picha kwahiyo ni simpo tu, Fanya mwenyew kwa umakin kwa cm yako ila kama unahofia, ruksa kwenda kwenye PC
NB; Cm unapaswa kuiset desktop site
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…