Kuomba ufadhili diploma inawezekana

Kuomba ufadhili diploma inawezekana

Habari ndugu humu,samahani eti Kuna njia yeyote mtu anaweza kutumia ili kupata ufadhili kutoka serikalini kwa masomo ya ngazi ya diploma akiwa ametoka form 6 katika vyuo vya ufundi Kama DIT
 
Habari ndugu humu,samahani eti Kuna njia yeyote mtu anaweza kutumia ili kupata ufadhili kutoka serikalini kwa masomo ya ngazi ya diploma akiwa ametoka form 6 katika vyuo vya ufundi Kama DIT
HAKUNA HAIWEZEKANI KABISA.

Jaribu ufadhili kutoka kwenye NGO's
 
Back
Top Bottom