Kuomba uhamisho Kidato cha Tano

ZNdoto

Member
Joined
Feb 23, 2013
Posts
19
Reaction score
1
Naomba msaada wa jinsi ya kuomba uhamisho . Shule niliyo chaguliwa iko mbali
 
Nenda kwa afisa elimu wa mkoa wako then mweleze sababu ya kuomba uhamisho. Na mueleze shule ambayo ungependekeza kuhamia....atakupa barua ya kupeleka katika shule mpya na watakupa join instructions letter kujua hali iko vipi

Pia ukikubaliwa uhamisho wasiliana na mkuu wa shule yako uliyopangwa awali atume selform yako kwa shule mpya..
 
Nenda kwenye ofisi za tamisemi zilizopo mkoani kwako kitengo cha kinachoshughulika na Sekondari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…