U ufumawicha JF-Expert Member Joined Mar 16, 2014 Posts 504 Reaction score 209 Apr 18, 2014 #1 Naomba mnijuze kama wizara ya elimu na ya afya zimetoa matangazo,na deadline ni lini kwa sababu mdogo wangu kapata 3.30 anaweza kupata nafasi kweli?
Naomba mnijuze kama wizara ya elimu na ya afya zimetoa matangazo,na deadline ni lini kwa sababu mdogo wangu kapata 3.30 anaweza kupata nafasi kweli?
D Dorogo JF-Expert Member Joined Oct 18, 2012 Posts 273 Reaction score 35 Apr 18, 2014 #2 Kwa upande wa ualimu nafikiri hao walio chuoni wakihitimu walimu watakuwa wakutosha.Labda ni sababu ya kimya cha wizara hiyo.
Kwa upande wa ualimu nafikiri hao walio chuoni wakihitimu walimu watakuwa wakutosha.Labda ni sababu ya kimya cha wizara hiyo.
G gashambala uwezo JF-Expert Member Joined Jan 17, 2014 Posts 485 Reaction score 67 Apr 18, 2014 #3 ualimu wametoa tembelea www.moe.go tz
snipa JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 4,437 Reaction score 2,043 Apr 18, 2014 #4 ufumawicha said: Naomba mnijuze kama wizara ya elimu na ya afya zimetoa matangazo,na deadline ni lini kwa sababu mdogo wangu kapata 3.30 anaweza kupata nafasi kweli? Click to expand... muhimbili nao waliishatoa ! Aliweka tangazo hapa njunwa wamavoko ! Sikumbuki vizuri ningekuwekea link Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
ufumawicha said: Naomba mnijuze kama wizara ya elimu na ya afya zimetoa matangazo,na deadline ni lini kwa sababu mdogo wangu kapata 3.30 anaweza kupata nafasi kweli? Click to expand... muhimbili nao waliishatoa ! Aliweka tangazo hapa njunwa wamavoko ! Sikumbuki vizuri ningekuwekea link