Ukiwa na roho ya huruma na kutoa toa kwa kila mtu utakufa masikini....
Jana nilikua nmekaa pahala, akajs kilema wa miguu kwenye kibaiskeli anasukumwa na kijana nadhifu anaomba hela "nikamsaidia nilichonacho kwa msaada" ila nikawaza yule kijana anayemsukuma yule mlemavu kazi yake ni nini? Je yule mlemavu kamuajiri amsukume? Je ikifika jioni malipo anapewa na nani analishwa na nani? Nkaconclude mlemavu kamuajiri yule kijana mzima kimwili amsukume kwenda kuomba.... Nikajiuliza why yule kijana asifanye kazi akamsaidia yule mlemavu? Nika conclude watz tunapenda kuomba sana.