Kuombwa sana pesa ni Dalili

Bak byzo I.T

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2014
Posts
266
Reaction score
125
Wana jamvini

Hivi kuombwa sana pesa ni Dalili ya nini?

Mie ni mtanzania mwenye kipato cha chini tu ila ni madhifu unionapo,

Nashindwa kuielewa hii hali kwa maana sasa inapoelekea inazidi hali ya kuwa mie mwenyew sina uwezo.

Kwa maana mie mwenyewe sina pesa cha ajabu hata nsiye mjua barabarani na ni mtu na heshima zake na busara zake unisimamisha na kuniomba hela.

Nakuwa sina tu ndiyo maana huikosa toka kwangu, lakin mungu shahid ninavyo umia moyoni mwangu kwa kuto msaidia.
 
Mkuu kweli umevurugwa umeamua upostie jokes and utani
Sio mbaya
Kuombwa hela ni dalili nzuri
Wewe ni mtu wa bahati
Mwenye huruma na roho nzuri
Kwa kuwa hauna
Chapa kazi kwa bidiii upate
 
Mkuu kweli umevurugwa umeamua upostie jokes and utani
Sio mbaya
Kuombwa hela ni dalili nzuri
Wewe ni mtu wa bahati
Mwenye huruma na roho nzuri
Kwa kuwa hauna
Chapa kazi kwa bidiii upate
Nashkuru ntaongeza utendaj kaz wang.
 
Ukiwa na roho ya huruma na kutoa toa kwa kila mtu utakufa masikini....

Jana nilikua nmekaa pahala, akajs kilema wa miguu kwenye kibaiskeli anasukumwa na kijana nadhifu anaomba hela "nikamsaidia nilichonacho kwa msaada" ila nikawaza yule kijana anayemsukuma yule mlemavu kazi yake ni nini? Je yule mlemavu kamuajiri amsukume? Je ikifika jioni malipo anapewa na nani analishwa na nani? Nkaconclude mlemavu kamuajiri yule kijana mzima kimwili amsukume kwenda kuomba.... Nikajiuliza why yule kijana asifanye kazi akamsaidia yule mlemavu? Nika conclude watz tunapenda kuomba sana.
 
Nalo neno?
 
Is it a joke or udaku!!? Hili jukwaa kweli limeakisi hiki kioja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…