kuondoa damu chafu(chuku)

sindibari

Member
Joined
Dec 11, 2013
Posts
27
Reaction score
7
Kuondoa damu chafuNi tiba na kinga mzuri sana mzuri sana kwa maradhi mengi,hufanywa kila tarehe za mwisho wa mwezi,lmefundishwa vizuri sana katika mafundisho ya kiislam na mtume wao..kwa wenye kufahamu vizuri naomba elimu zaidi..mzizi mkavu njoo utupe darasa tafadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…