hyo lotion ni baada ya watu kula na kuondoa vyombo ama baada tu ya kula Mrs Kharusy
Atakavyojiskia ilimradi asiiweke kwenye mapishi:-D
kama utatumia limao au ndimu katika mapishi yako tumia yale mabaki(maganda) yake kujisugulia taratibu viganjani hupunguza harufu ya kitunguu pia.
Ukijisugua na limao naona kama harufu ya malimao ina replace ile ya vitunguu kwa hiyo utanukia malimao,je unawezaje kuondoa harufu ya malimao baada ya hapo?
Best hii inafanya kazi. Na hasa unapoanza kitunguu na vingine vikifuata mwishoni. Asante kwa ushauri