JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 476
MSAADA MADAKTARI JAMANI,Nimewahi kuota ndevu sasa nilizoea nazikwangua zote kwenye mashavu zimejenga weusi kwenye shingo na mashavu kias kwamba naonekana mtu mzma sana wakat nina miaka 25 sasa naomben ushaur nifanyeje au nitumie dawa gani ya kunifanya nirudishe rangi iwe soft ingawa ninandevu mabaka na makunyanz yaondoke Ushaur ndugu zangu nawakaribisha wote