Kuondoka kwa Jabir Saleh & LilOmmy TimesFm Kifo cha Vipindi vya Burudani

Kuondoka kwa Jabir Saleh & LilOmmy TimesFm Kifo cha Vipindi vya Burudani

mayowela

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2014
Posts
2,125
Reaction score
1,753
Siku si nyingi niliandika kuhusiana na kipaji cha LilOmmy nadhan macho yangu yalikuwa sawa na wengine hatimae muda umezungumza, na leo The Playlist ni kipindi chake cha mwisho baada ya hapo atakuwa akisomeka code zingine (I mean kuna kituo cha redio kingine atakuwa akisikika) ni kipi..? mimi na wewe hatujui ila muda si mrefu utamsikia.

Jabir Saleh aka Kuvichaka aka Kibonge tozi alifanya yake pale Times Fm kwenye kipindi cha The Jump Off ni moja ya kipindi cha burudani kilichotikisa muda wa jioni mpaka usiku kwa info na mziki mkali.

Jabir Saleh aliondoka muda kidogo, na LilOmmy anaondoka na madj wakali kama Dj Cobo, DjKU,dJ RGUY waliisha ondoka muda nakumbuka 2011 yalifanyika mashindano yakuwapata na walikuwa moto.

Kwa sasa sioni mtu ambae ana chachu kwa upande wa Burudani pale Times hasa Raheem ni kapa kapwaya kwenye Bongo.home, ni muda sasa wa Times wamrudishe Aloyce senzia aka Mapembe baby ili aongeze nguvu maana huko Triple A fm hatumsikii kabisa.

Kila raheri LilOmmy.
 
Vipaji vipo vingi sana hilo wala usiwe na shaka nalo. Usikute anakwenda clouds au efm
 
oya
Siku si nyingi niliandika kuhusiana na kipaji cha LilOmmy nadhan macho yangu yalikuwa sawa na wengine hatimae muda umezungumza, na leo The Playlist ni kipindi chake cha mwisho baada ya hapo atakuwa akisomeka code zingine (I mean kuna kituo cha redio kingine atakuwa akisikika) ni kipi..? mimi na wewe hatujui ila muda si mrefu utamsikia.

Jabir Saleh aka Kuvichaka aka Kibonge tozi alifanya yake pale Times Fm kwenye kipindi cha The Jump Off ni moja ya kipindi cha burudani kilichotikisa muda wa jioni mpaka usiku kwa info na mziki mkali.

Jabir Saleh aliondoka muda kidogo, na LilOmmy anaondoka na madj wakali kama Dj Cobo, DjKU,dJ RGUY waliisha ondoka muda nakumbuka 2011 yalifanyika mashindano yakuwapata na walikuwa moto.

Kwa sasa sioni mtu ambae ana chachu kwa upande wa Burudani pale Times hasa Raheem ni kapa kapwaya kwenye Bongo.home, ni muda sasa wa Times wamrudishe Aloyce senzia aka Mapembe baby ili aongeze nguvu maana huko Triple A fm hatumsikii kabisa.

Kila raheri LilOmmy.
Oya alloyce senzia yupo ITV MKUU...TRIPPLE A FM ALISHAONDOKA
 
hii redio ndio ilikuwa mshindani wa clouds fm lakini sasa haisikiki tena....imeshapigwa bao na efm
 
Siku si nyingi niliandika kuhusiana na kipaji cha LilOmmy nadhan macho yangu yalikuwa sawa na wengine hatimae muda umezungumza, na leo The Playlist ni kipindi chake cha mwisho baada ya hapo atakuwa akisomeka code zingine (I mean kuna kituo cha redio kingine atakuwa akisikika) ni kipi..? mimi na wewe hatujui ila muda si mrefu utamsikia.

Jabir Saleh aka Kuvichaka aka Kibonge tozi alifanya yake pale Times Fm kwenye kipindi cha The Jump Off ni moja ya kipindi cha burudani kilichotikisa muda wa jioni mpaka usiku kwa info na mziki mkali.

Jabir Saleh aliondoka muda kidogo, na LilOmmy anaondoka na madj wakali kama Dj Cobo, DjKU,dJ RGUY waliisha ondoka muda nakumbuka 2011 yalifanyika mashindano yakuwapata na walikuwa moto.

Kwa sasa sioni mtu ambae ana chachu kwa upande wa Burudani pale Times hasa Raheem ni kapa kapwaya kwenye Bongo.home, ni muda sasa wa Times wamrudishe Aloyce senzia aka Mapembe baby ili aongeze nguvu maana huko Triple A fm hatumsikii kabisa.

Kila raheri LilOmmy.
Amekwenda wapi huyo Lili?
 
Siku si nyingi niliandika kuhusiana na kipaji cha LilOmmy nadhan macho yangu yalikuwa sawa na wengine hatimae muda umezungumza, na leo The Playlist ni kipindi chake cha mwisho baada ya hapo atakuwa akisomeka code zingine (I mean kuna kituo cha redio kingine atakuwa akisikika) ni kipi..? mimi na wewe hatujui ila muda si mrefu utamsikia.

Jabir Saleh aka Kuvichaka aka Kibonge tozi alifanya yake pale Times Fm kwenye kipindi cha The Jump Off ni moja ya kipindi cha burudani kilichotikisa muda wa jioni mpaka usiku kwa info na mziki mkali.

Jabir Saleh aliondoka muda kidogo, na LilOmmy anaondoka na madj wakali kama Dj Cobo, DjKU,dJ RGUY waliisha ondoka muda nakumbuka 2011 yalifanyika mashindano yakuwapata na walikuwa moto.

Kwa sasa sioni mtu ambae ana chachu kwa upande wa Burudani pale Times hasa Raheem ni kapa kapwaya kwenye Bongo.home, ni muda sasa wa Times wamrudishe Aloyce senzia aka Mapembe baby ili aongeze nguvu maana huko Triple A fm hatumsikii kabisa.

Kila raheri LilOmmy.
Aloyce sanzia yupo ITV kwenye the base
 
Kipindi cha nyuma kulikuaga na kipindi cha nyuki djs kilibamba kinoma nahisi kimekufa lakini ile station haijafa mkuu lazima replacement itokee
 
Kipindi cha nyuma kulikuaga na kipindi cha nyuki djs kilibamba kinoma nahisi kimekufa lakini ile station haijafa mkuu lazima replacement itokee
hata replacement ikifanyika, wanahitaji changes ya haswa maana mwanzo walikuwa wapinzani wakubwa wa Mawingu, wafunguke waende hata mikoa mitano mikubwa.. wamebomolewa sana, Fredwaa, Ezden Jumanne, Fadhir Haule, Rahabu Fredy, Jabir Saleh, Lilommy, Dj Kobo, Dj KU, Dj Rguy, hadi bibi yao aliekuwa anatangaza na Dida
 
hata replacement ikifanyika, wanahitaji changes ya haswa maana mwanzo walikuwa wapinzani wakubwa wa Mawingu, wafunguke waende hata mikoa mitano mikubwa.. wamebomolewa sana, Fredwaa, Ezden Jumanne, Fadhir Haule, Rahabu Fredy, Jabir Saleh, Lilommy, Dj Kobo, Dj KU, Dj Rguy, hadi bibi yao aliekuwa anatangaza na Dida
Gadner na Masoud Kipanya
 
Siku si nyingi niliandika kuhusiana na kipaji cha LilOmmy nadhan macho yangu yalikuwa sawa na wengine hatimae muda umezungumza, na leo The Playlist ni kipindi chake cha mwisho baada ya hapo atakuwa akisomeka code zingine (I mean kuna kituo cha redio kingine atakuwa akisikika) ni kipi..? mimi na wewe hatujui ila muda si mrefu utamsikia.

Jabir Saleh aka Kuvichaka aka Kibonge tozi alifanya yake pale Times Fm kwenye kipindi cha The Jump Off ni moja ya kipindi cha burudani kilichotikisa muda wa jioni mpaka usiku kwa info na mziki mkali.

Jabir Saleh aliondoka muda kidogo, na LilOmmy anaondoka na madj wakali kama Dj Cobo, DjKU,dJ RGUY waliisha ondoka muda nakumbuka 2011 yalifanyika mashindano yakuwapata na walikuwa moto.

Kwa sasa sioni mtu ambae ana chachu kwa upande wa Burudani pale Times hasa Raheem ni kapa kapwaya kwenye Bongo.home, ni muda sasa wa Times wamrudishe Aloyce senzia aka Mapembe baby ili aongeze nguvu maana huko Triple A fm hatumsikii kabisa.

Kila raheri LilOmmy.
huyo mapembe si yupo ITV kwenye the base
 
Back
Top Bottom