Kuondoka kwa Mchungaji Msigwa ni pigo kwa Chadema?

Kuondoka kwa Mchungaji Msigwa ni pigo kwa Chadema?

Gulio Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2018
Posts
3,325
Reaction score
7,807
Wapo manguli wa siasa walifanya kazi kubwa kukijenga chama lakini mwisho walihama vyama na wengine kung'olewa na mwisho walionekana ni wasaliti tu chama kilishinda vita hii.

Kuhama kwa Msigwa kumekuja kitofauti sana na wala haikutegemewa. Baada ya mchungaji Msigwa kudondoka katika uchaguzi wa Kanda amenukuliwa akitoa tuhuma kuhujumiwa katika uchaguzi kwa watu kuhongwa pesa ili yeye asishinde.

Maswali ya kujiuliza

Swali la kwanza inawezekana labda mchungaji Msigwa ameona chama chake kimetoka katika misingi yake ya kidemokrasia kupambana mpaka kufikia hatua ya kutumia rushwa kwenye uchaguzi?

Swali la pili kwanini aende CCM kwanini asingeenda chama kingine ambacho kinasimamia misingi ya kidemocrasia na haki.

Swali la tatu pengine inawezekana intelejensia ya viongozi wa chadema waliona msigwa sio mwenzao ni msaliti ndio sababu wakaamua kumuengua katika uchaguzi wa Kanda tumesikia katika mikutano ya chadema kwamba mama kamwaga mapesa ili kuhujumu chaguzi hizi za Kanda.

Wahusika wakuu ni kina nani hapo CHADEMA?

Hii muvi imechezwa na watu wenye akili sana.

Ni Nina atakaye malizwa kisiasa kati ya mch msigwa au CHADEMA.
 
Vuguvugu la wamarekani weusi kupambana kupata haki zao marekani walikufa wengi na hatimaye leo hii wako pale waliopataka waaasisi wa vuguvugu hilo. Tanzania kuna siku itafika CCM itakosa nguvu na kuwa chama kama kilivyo act au chadema
 
Wapo manguli wa siasa walifanya kazi kubwa kukijenga chama lakini mwisho walihama vyama na wengine kung'olewa na mwisho walioonekana ni wasaliti tu chama kilishinda vita hii

Kuhama kwa msigwa kumekuja kitofauti sana na Wala haikutegemewa
Baada ya mch msigwa kudondoka katika uchaguzi wa Kanda amenukuliwa akitoa tuhuma kuhujumiwa katika uchaguzi kwa watu kuhongwa pesa ili yeye asishinde

Maswali ya kujiuliza

Swali la kwanza inawezekana labda mch msigwa ameona chama chake kimetoka katika misingi yake ya kidemocrasia kupambana mpak kufikia hatua ya kutumia rushwa kwenye uchaguzi?

Swali la pili kwanini aende ccm kwanini asingeenda chama kingine ambacho kinasimamia misingi ya kidemocrasia na haki

Swali la tatu pengine inawezekana intelejensia ya viongozi wa chadema waliona msigwa sio mwenzao ni msaliti ndio sababu wakaamua kumuengua katika uchaguzi wa Kanda tumesikia katika mikutano ya chadema kwamba mama kamwaga mapesa ili kuhujumu chaguzi hizi za Kanda

Wahusika wakuu ni kina nani hapo chadema?

Hii muvi imechezwa na watu wenye akili sana

Ni Nina atakaye malizwa kisiasa kati ya mch msigwa au chadema
Ngoja tuone
 
Wapo manguli wa siasa walifanya kazi kubwa kukijenga chama lakini mwisho walihama vyama na wengine kung'olewa na mwisho walionekana ni wasaliti tu chama kilishinda vita hii.

Kuhama kwa Msigwa kumekuja kitofauti sana na wala haikutegemewa. Baada ya mchungaji Msigwa kudondoka katika uchaguzi wa Kanda amenukuliwa akitoa tuhuma kuhujumiwa katika uchaguzi kwa watu kuhongwa pesa ili yeye asishinde.

Maswali ya kujiuliza

Swali la kwanza inawezekana labda mchungaji Msigwa ameona chama chake kimetoka katika misingi yake ya kidemokrasia kupambana mpaka kufikia hatua ya kutumia rushwa kwenye uchaguzi?

Swali la pili kwanini aende CCM kwanini asingeenda chama kingine ambacho kinasimamia misingi ya kidemocrasia na haki.

Swali la tatu pengine inawezekana intelejensia ya viongozi wa chadema waliona msigwa sio mwenzao ni msaliti ndio sababu wakaamua kumuengua katika uchaguzi wa Kanda tumesikia katika mikutano ya chadema kwamba mama kamwaga mapesa ili kuhujumu chaguzi hizi za Kanda.

Wahusika wakuu ni kina nani hapo CHADEMA?

Hii muvi imechezwa na watu wenye akili sana.

Ni Nina atakaye malizwa kisiasa kati ya mch msigwa au CHADEMA.
Msigwa atakuwa mjinga, yaani hela imwage na ccm ili asishinde uchaguzi, halafu yeye tena ahamie huko huko ccm?!
 
Inapendeza mtu anapohama chama, ajikite katika kukiimarisha au kukiongezea nguvu hicho chama chake kipya. Lakini kutumia muda mwingi kurusha tuhuma kwa chama cha zamani ni utoto. Msikie Mchungaji anaposema "CDM haina uhalali wa kuinyooshea kidole CCM kwa kuwa wanafanya yaleyale". Sasa hapo ni nani mwenye nafuu..? Maana yake CCM na CDM "wote ni maji ga-nyanja" (chambilecho Mwl. JK). Na ni wazi kamfuata mweye kuunda serikali, na si usafi wa chama..!
 
Wapo manguli wa siasa walifanya kazi kubwa kukijenga chama lakini mwisho walihama vyama na wengine kung'olewa na mwisho walionekana ni wasaliti tu chama kilishinda vita hii.

Kuhama kwa Msigwa kumekuja kitofauti sana na wala haikutegemewa. Baada ya mchungaji Msigwa kudondoka katika uchaguzi wa Kanda amenukuliwa akitoa tuhuma kuhujumiwa katika uchaguzi kwa watu kuhongwa pesa ili yeye asishinde.

Maswali ya kujiuliza

Swali la kwanza inawezekana labda mchungaji Msigwa ameona chama chake kimetoka katika misingi yake ya kidemokrasia kupambana mpaka kufikia hatua ya kutumia rushwa kwenye uchaguzi?

Swali la pili kwanini aende CCM kwanini asingeenda chama kingine ambacho kinasimamia misingi ya kidemocrasia na haki.

Swali la tatu pengine inawezekana intelejensia ya viongozi wa chadema waliona msigwa sio mwenzao ni msaliti ndio sababu wakaamua kumuengua katika uchaguzi wa Kanda tumesikia katika mikutano ya chadema kwamba mama kamwaga mapesa ili kuhujumu chaguzi hizi za Kanda.

Wahusika wakuu ni kina nani hapo CHADEMA?

Hii muvi imechezwa na watu wenye akili sana.

Ni Nina atakaye malizwa kisiasa kati ya mch msigwa au CHADEMA.
Hela iliyotumika kumgaragaza Msigwa kwenye uchaguzi wa wa kanda ya nyasa ilitoka kwa mama Abdul hivyo kaamua kuifuata huko huko ilikotoka. Kafuata mtonyo.
 
Wapo manguli wa siasa walifanya kazi kubwa kukijenga chama lakini mwisho walihama vyama na wengine kung'olewa na mwisho walionekana ni wasaliti tu chama kilishinda vita hii.

Kuhama kwa Msigwa kumekuja kitofauti sana na wala haikutegemewa. Baada ya mchungaji Msigwa kudondoka katika uchaguzi wa Kanda amenukuliwa akitoa tuhuma kuhujumiwa katika uchaguzi kwa watu kuhongwa pesa ili yeye asishinde.

Maswali ya kujiuliza

Swali la kwanza inawezekana labda mchungaji Msigwa ameona chama chake kimetoka katika misingi yake ya kidemokrasia kupambana mpaka kufikia hatua ya kutumia rushwa kwenye uchaguzi?

Swali la pili kwanini aende CCM kwanini asingeenda chama kingine ambacho kinasimamia misingi ya kidemocrasia na haki.

Swali la tatu pengine inawezekana intelejensia ya viongozi wa chadema waliona msigwa sio mwenzao ni msaliti ndio sababu wakaamua kumuengua katika uchaguzi wa Kanda tumesikia katika mikutano ya chadema kwamba mama kamwaga mapesa ili kuhujumu chaguzi hizi za Kanda.

Wahusika wakuu ni kina nani hapo CHADEMA?

Hii muvi imechezwa na watu wenye akili sana.

Ni Nina atakaye malizwa kisiasa kati ya mch msigwa au CHADEMA.
Yaani sasa rasmi naichukia chadema, yote 9 kumi chadema wangefanya wafanyavyo msigwa akabaki chadema, hali ya upinzani Tanzania ni mbaya sana
 
Back
Top Bottom