Kuondolewa kwa chaneli nyingi za Azam bila taarifa mnajiona wajanja sana

Kuondolewa kwa chaneli nyingi za Azam bila taarifa mnajiona wajanja sana

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Asubuhi ya leo wakati naamka huwa nitautaratibu wa kuangalia baadhi ya chaneli za habari nikaanzai France English hakuna, fox hakuna. Nikashangaa kwanini na nimelipia.

Zile za watoto vikatuni vyao hakuna wamebakiza tatu tu.

Movies wameondoa action zote wamabakiza wachina tu na vitamthiria vya kituruki vya kueneza uislamu, kwenye michezo vile vile wameondoa na kubakiza tano tu.

Kiufupi wakuna king'amuzi tena hapa ni uchafu tu mimi hizi local huwa siangalii kabisa na hizo za action movies na habari za kimataifa ndio mambo yangu sasa nimeagiza Dstv nataka nikirudi leo wafunge tuheshimiane.

Tunalipia 35k mwezi mzima mnakata bila taarifa kuwa mtapunguza chaneli maana naona sio chini ya chaneli 20 mmetoa.

USSR
 
Nunua DVB lako la bure mbona mnajitoa akili

images%20(18).jpg
 
Asubuhi ya leo wakati naamka huwa nitautaratibu wa kuangalia baadhi ya chaneli za habari nikaanzai France English hakuna, fox hakuna. Nikashangaa kwanini na nimelipia.

Zile za watoto vikatuni vyao hakuna wamebakiza tatu tu.

Movies wameondoa action zote wamabakiza wachina tu na vitamthiria vya kituruki vya kueneza uislamu, kwenye michezo vile vile wameondoa na kubakiza tano tu.

Kiufupi wakuna king'amuzi tena hapa ni uchafu tu mimi hizi local huwa siangalii kabisa na hizo za action movies na habari za kimataifa ndio mambo yangu sasa nimeagiza Dstv nataka nikirudi leo wafunge tuheshimiane.

Tunalipia 35k mwezi mzima mnakata bila taarifa kuwa mtapunguza chaneli maana naona sio chini ya chaneli 20 mmetoa.

USSR
Azam TV ni wapigaji wakubwa!
Angalia hata hizo chanel wanazoita wao za Movie!

Yote ni zile MBC za Uarabuni za bei Rahisi tupu.

Anachofanya ni kueneza Uislam tupu.
 
Eleze vizuri hii ni nini ? Unaitumiaje ? Inakunufaishaje ? ,Ili na sisi tujue
Hivi ni ving'amuzi vilianza mda sana.na bado mpaka leo vinatumika kwa kurusha channel masafa ya setelite.
Digital ilianza zamani sana ya madishi.
 
Asubuhi ya leo wakati naamka huwa nitautaratibu wa kuangalia baadhi ya chaneli za habari nikaanzai France English hakuna, fox hakuna. Nikashangaa kwanini na nimelipia.

Zile za watoto vikatuni vyao hakuna wamebakiza tatu tu.

Movies wameondoa action zote wamabakiza wachina tu na vitamthiria vya kituruki vya kueneza uislamu, kwenye michezo vile vile wameondoa na kubakiza tano tu.

Kiufupi wakuna king'amuzi tena hapa ni uchafu tu mimi hizi local huwa siangalii kabisa na hizo za action movies na habari za kimataifa ndio mambo yangu sasa nimeagiza Dstv nataka nikirudi leo wafunge tuheshimiane.

Tunalipia 35k mwezi mzima mnakata bila taarifa kuwa mtapunguza chaneli maana naona sio chini ya chaneli 20 mmetoa.

USSR
Kampuni la kipuuzi limeshalewa sifa hilo
 
Sema Azam Tv inajiua yenyewe kabisa
#1. Pricing ya madishi yao
#2. Upuuzi kama huu wa kutoa channel ovyo
#3. Kubase sana na waislam

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom