Kuondolewa kwa Dr. Nzuki TTB kuna tija kwa sector ya utalii?

Kuondolewa kwa Dr. Nzuki TTB kuna tija kwa sector ya utalii?

Prodigal Son

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2009
Posts
1,068
Reaction score
711
Wanabodi, wizara ya maliasili na utalii ni kati ya wizara kubwa zenye vyanzo vingi saana vya mapato (wengine tunaiita ni serekali ndani ya serekali kwani ina kila kitu). Kati ya Taasisi nyeti ambazo zipo chini ya hii wizara ni Tanzania Tourist Board ( TTB) na iliundwa baada ya TCC KUFA(Tanzania Tourist Corporation). TTB haijawahi kuwa na Mkurugenzi, Msomi, muelewa, mvumilivu Kama Dr. A. Nzuki kwa masikitiko makubwa leo Nimemsikia Nyalandu alivyotengua Uteuzi wake kwa sababu anazozijua yeye peke yake eti Bodi ya wakurugenzi hawafurahishwi na utendaji kazi wake hao wajumbe wa bodi ni akina nani? Wana weledi gani katika hii sector ya utaLII? Binafsi namfahamu Dr. Nzuki kama Ofisa Utaliii( aliyehusika saana na mambo ya statistic).

Kaimu Mkurugenzi Idara ya utalii, Baada ya kumchanganya alihamua kuchukua likizo ya bila malipo akahamia Quatar Kama Mwalim Mtaalam wa mambo ya Utalii. Mwenguo (RIP) alipondolewa TTB, na nafasi yake kutangwazwa, Watu walimshauri Dr. Nzuki aombe hiyo kazi na kweli aliomba na akafanya interview Jinalake likapelekwa Ikulu akaidhinishwa...sasa leo kwa masikitiko leo Nyalandu Kamuondoa najiuliza kama mdau kuondolewa kwa Dr. Nzuki kweli kuna TIJA kwenye hii sector ya utalii kweli? aliyechukua nafasi yake Devota Mdachi kwa msiomfahamu shule yake ina waaaaaaalakini tena mkubwa na hata kupewa umeneja kulileta kelel nyingi saana TTB, huyu ndo mchapa kazi kuliko Nzuki? Kwa tuliowengi hatujasahau ni Nyalandu huyu huyu aliyewatimua walimu wale wa SUA mkurugenzi wa Idara ya wanyama pori na Misitu nini malengo yake hasa? tunaelewa Dr. Nzuki, Wizara hawampendi kwa sababu alitaka TTB iwe autonomous kama EWURA,TCRA na baadhi ya idara ndani ya wizara kama TALA Ziwe Chini Yake kwetu sio wakwanza kabisa kuwa na mfumo huo hata South Africa wanahuo Mfumo na kwa kufanya hivyo TTB ingekuwa na vyanzo vyake HURU vya Mapato na wasingetegemea Budget ya Serekali Kuu.

Wachumia TUMBO wakaona jamaa anataka kumwagia kitumbua chao mchanga ndio wakamuanzishia majungu. Chamsingi TTB hata aletwe malaika kama hiyo taasisi haina pesa za kutosha haitaweza hata kidogo. Kuutangaza Utalii wa Tanzania popote kwahili NYALANDU utamfukuza kila mtu na mwisho wa siku utajifukuza mwenyewe.

TUJIKUMBUSHE UTEUZI WA Dr. Aloyce Nzuki na Mh. Rais Kikwete mwaka 2010:

A few months after the statutory retirement of the former chief executive officer of the Tanzania Tourist Board, Mr. Peter Mwenguo, President Jakaya Kikwete has appointed Dr. Aloyce Nzuki to take over the very competitive and high-ranking position in Tanzania's tourism sector.

The President appointed Dr. Nzuki, who until last month was an assistant professor at Salalah University in Oman. Dr. Nzuki, a highly-qualified tourism professional, worked with Tanzania's ministry for natural resources and tourism as an assistant director of tourism.

He holds a doctorate degree in tourism development from Clemson University of South Carolina in the United States, which he graduated from a few years ago.

Before joining the tourism industry, Dr. Nzuki studied statistics at Makerere University in Uganda then masters degree in tourism marketing at Surrey University in UK before pursuing his doctorate degree in tourism.

Upon taking over the high-ranking job in Tanzania's fast-growing tourist industry, Dr. Nzuki will join a team of tourism professionals in marketing and will work to promote tourism in new emerging markets in the world parallel to traditional market sources.

Tanzania is currently targeting the newly-emerging tourist markets of China, India, Japan, and the former socialist countries of Eastern Europe. The 2010 FIFA World Cup is the other target which Tanzania is looking to add value to its tourist products.

Tanzania, the largest country in East Africa, is focused on wildlife conservation and sustainable tourism, with approximately 28 percent of the land protected by the government.

It boasts 15 national parks and 33 game reserves and the world's acclaimed Ngorongoro Crater, often called "The Eighth Wonder of the World;" Olduvai Gorge, the Cradle of Mankind; the Selous Game Reserve, the world's largest wildlife reserve; and Ruaha, now expected to be the largest national park on the African continent.

Since taking over the top leadership of this African safari destination, President Kikwete has been actively campaigning for his country's tourism development through his foreign entourages and local trips in both political and economic missions.

The Tanzania Tourist Board is a government organization, which was legally established by the Tanzania Tourist Board act, CAP 364 of 1962 and amended by Act No. 18 of 1992. The board was formed after the disbandment of the Tanzania Tourist Corporation (TTC).

The board is mandated with promotion and development of all the aspects of tourism industry in Tanzania with a vision that aims to make tourism the number one economic contributing sector to the Tanzania GDP by the year 2025.

The board's mission is attributed to promote sustainable tourism domestically and internationally through innovative and dynamic awareness creation, in order to contribute significantly to the social and economic development of Tanzania. Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...64-dr-aloyce-nzuki-the-new-boss-of-ttb-2.html




Sijui Ikulu, Waziri na Bodi ya Wakurugenzi safari hii watapata mtu atakae leta MABADILIKO MAKUBWA KWA KASI ktk TTB ili Tanzania ifaidike kabla tembo, faru, nyati hawajaisha mbugani!
 
Kama amaekutuma mwambie asome alama za nyakati.Na tunamtupa Mafiaaaa

Inamaan kabla ya yeye hakukuwa na wasomi?ebo
Sababu zako binafsi na kumjua zinahusiana na nini katika maamuzi ya Waziri.

Watu walitimuliwa Ngorongoro Conservations Authority mbona hujasema kitu.

Au mzee una issue nae kwenye dili la mikonga ya pori.
Watu wanataka utendaji,majina ya Dokta sijui nini haitushughulishi.

Devota,Shule yake haina walakini,ila wewe akili yako ndio inawalakin.
Jina lenyewe Prodigal ,hapo sijui hata inakuwaje.Location Dili -ET.
Sasa kama mmekosa Dili fanyeni kazi nyinge.

Waziri ameishasema atampa majukum mengine,sio kwamba kafukuzwa kazi ila amebadilishwa sehem ya kazi.
Sasa huko ndio tunataka tuone makeke yake
 
TUJIKUMBUSHE UTEUZI WA Dr. Aloyce Nzuki na Mh. Rais Kikwete mwaka 2010:

A few months after the statutory retirement of the former chief executive officer of the Tanzania Tourist Board, Mr. Peter Mwenguo, President Jakaya Kikwete has appointed Dr. Aloyce Nzuki to take over the very competitive and high-ranking position in Tanzania's tourism sector.

The President appointed Dr. Nzuki, who until last month was an assistant professor at Salalah University in Oman. Dr. Nzuki, a highly-qualified tourism professional, worked with Tanzania's ministry for natural resources and tourism as an assistant director of tourism.

He holds a doctorate degree in tourism development from Clemson University of South Carolina in the United States, which he graduated from a few years ago.

Before joining the tourism industry, Dr. Nzuki studied statistics at Makerere University in Uganda then masters degree in tourism marketing at Surrey University in UK before pursuing his doctorate degree in tourism.

Upon taking over the high-ranking job in Tanzania's fast-growing tourist industry, Dr. Nzuki will join a team of tourism professionals in marketing and will work to promote tourism in new emerging markets in the world parallel to traditional market sources.

Tanzania is currently targeting the newly-emerging tourist markets of China, India, Japan, and the former socialist countries of Eastern Europe. The 2010 FIFA World Cup is the other target which Tanzania is looking to add value to its tourist products.

Tanzania, the largest country in East Africa, is focused on wildlife conservation and sustainable tourism, with approximately 28 percent of the land protected by the government.

It boasts 15 national parks and 33 game reserves and the world's acclaimed Ngorongoro Crater, often called "The Eighth Wonder of the World;" Olduvai Gorge, the Cradle of Mankind; the Selous Game Reserve, the world's largest wildlife reserve; and Ruaha, now expected to be the largest national park on the African continent.

Since taking over the top leadership of this African safari destination, President Kikwete has been actively campaigning for his country's tourism development through his foreign entourages and local trips in both political and economic missions.

The Tanzania Tourist Board is a government organization, which was legally established by the Tanzania Tourist Board act, CAP 364 of 1962 and amended by Act No. 18 of 1992. The board was formed after the disbandment of the Tanzania Tourist Corporation (TTC).

The board is mandated with promotion and development of all the aspects of tourism industry in Tanzania with a vision that aims to make tourism the number one economic contributing sector to the Tanzania GDP by the year 2025.

The board's mission is attributed to promote sustainable tourism domestically and internationally through innovative and dynamic awareness creation, in order to contribute significantly to the social and economic development of Tanzania. Source: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...64-dr-aloyce-nzuki-the-new-boss-of-ttb-2.html


Prodigal Son,
Baada ya kumchanganya alihamua kuchukua likizo ya bila malipo akahamia Quatar Kama Mwalim Mtaalam wa mambo ya Utalii......Mwenguo (RIP) alipondolewa TTB, na nafasi yake kutangwazwa....Watu walimshauri Dr. Nzuki aombe hiyo kazi na kweli aliomba na akafanya interview Jinalake likapelekwa Ikulu akaidhinishwa...sasa leo........

Sijui Ikulu, Waziri na Bodi ya Wakurugenzi safari hii watapata mtu atakae leta MABADILIKO MAKUBWA KWA KASI ktk TTB ili Tanzania ifaidike kabla tembo, faru, nyati hawajaisha mbugani!
 
President Jakaya Kikwete has appointed Dr. Aloyce Nzuki to take over the very competitive and high-ranking position in Tanzania's tourism sector.

Hii imekaaje jamani? Waziri/bodi inamfukuza kazi mteule wa rais?
 
Nyalandu anaongozwa na visasi. Ni mtu anayefanya mambo kwa faida yake. soon mtasikia mambo ya ajabu kuhusu huyu jamaa.
Pamoja na ukata mkubwa iliyonayo ttb bado dr. alijitahidi sana.
 
Kama amaekutuma mwambie asome alama za nyakati.Na tunamtupa Mafiaaaa

Inamaan kabla ya yeye hakukuwa na wasomi?ebo
Sababu zako binafsi na kumjua zinahusiana na nini katika maamuzi ya Waziri.

Watu walitimuliwa Ngorongoro Conservations Authority mbona hujasema kitu.

Au mzee una issue nae kwenye dili la mikonga ya pori.
Watu wanataka utendaji,majina ya Dokta sijui nini haitushughulishi.

Devota,Shule yake haina walakini,ila wewe akili yako ndio inawalakin.
Jina lenyewe Prodigal ,hapo sijui hata inakuwaje.Location Dili -ET.
Sasa kama mmekosa Dili fanyeni kazi nyinge.

Waziri ameishasema atampa majukum mengine,sio kwamba kafukuzwa kazi ila amebadilishwa sehem ya kazi.
Sasa huko ndio tunataka tuone makeke yake[/QUOTE
......Naona umedandia treni kwa nyuma......na inawezekana umeshavurugwa tayari....na mara nyingi sijawahi kukurupuka..........naandika mambo nayoyajua..........tena kwa weledi mkubwa............wewe kama umetumwa kuja kupiga blablaa hapa....hayo hayanihusu.............waliofukunzwa Ngorongoro ni akina nani na lini?????.....unajua majukumu ya TTB?.......unajua changamoto zake.........unajua composition ya hao wajumbe wa bodi.........unajua ni ugomvi gani ulikuwepo?????????Hata chizi hawezi linganisha utendaji kazi wa Nzuki na former TTB Boss Mwenguo(RIP)......Dr. Nzuki hawezi nituma hata kidogo nije nimsemee...........najua sio kwamba atakosa kazi ya kufanya.......very soon mtasikia....nachokilalamikia ni maamuzi ya kisiasa yanayogarim Taifa kwa ujumla..........Nahisi wewe utakuwa Kibaraka wa Devota.......ambaye namjua fika ( Hana uwezo wa kuongoza taasisi kama TTB)........Kuhusu jina langu linauhusiano gani na nilichokiandika hapa......ndio maana nkakuambia umevurugwa tena si kidogo na inaelekea una frustration za maisha..........umeshindwa tambua huku duniani kuna Nchi inaitwa....... EAST TIMOR NA MJI WAKE MKUU NI ........DILI.......????????????Pole saana akili za kuambiwa siku nyingine uchanganye na za kwako
 
bagamoyo .............Mkuu hata aende malaika TTB kama hiyo bodi haina vyanzo vyake huru vya maapato lazima atashindwa kazi tu............hii bodi budget inayotengewa ni kidogo saana....na kuna kazi nyingine inaendeshwa kwa hisani ya TANAPA na Ngorongoro............
 
Last edited by a moderator:
Apart from budget constraints in regards to tourism promotion in the country Nzuki himself is a bogus.
Yeye alikuwa tu na diary inayo onyesha trade fair zilizoko kwenye calendar ya mwaka husika.

Wewe mtoa mada umeshawahi kwenda nje kwenye marketing na huyo Nzuki wako? Mimi nimewahi tena mara nyingi ni kwamba TTB hawana proven strategies zozote za kukuza utalii wa nchi hii.

Unafahamu kwamba TTB wanapewa funds na TANAPA na NCAA kwa ajili ya kutangaza utalii nje? Basi hela hizo kidogo wanazopewa wangeonyesha efficiency kwanza ndo waongezewe budget.

Ofcouse Devotha is not bogus but she is incapable basing on what she acquired from her mentors Nzuki being number one.
 
Apart from budget constraints in regards to tourism promotion in the country Nzuki himself is a bogus.
Yeye alikuwa tu na diary inayo onyesha trade fair zilizoko kwenye calendar ya mwaka husika.

Wewe mtoa mada umeshawahi kwenda nje kwenye marketing na huyo Nzuki wako? Mimi nimewahi tena mara nyingi ni kwamba TTB hawana proven strategies zozote za kukuza utalii wa nchi hii.

Unafahamu kwamba TTB wanapewa funds na TANAPA na NCAA kwa ajili ya kutangaza utalii nje? Basi hela hizo kidogo wanazopewa wangeonyesha efficiency kwanza ndo waongezewe budget.

Ofcouse Devotha is not bogus but she is incapable basing on what she acquired from her mentors Nzuki being number one.
...................Mkuu unachanganya mambo.......TANAPA na Ngorongoro hawachangii budget ya uendeshaji ya TTB....hakuna kitu kama hicho........TTB kisheria ni wasimamizi wakuu wa shughuli zote za utwangazaji wa utalii wa Tanzania nje na ndani ya nchi..kutokana na ufinyu wa budget.....Kuna Shughuli za TTB zinakuwa funded na TANAPA na NGORONGORO.....Tambua TANAPA Na NGORONGORO wana vitengo vya marketing na mara nyingi wanahudhuria maonyesho kivyao vyao kwa sababu wanapesa za kufanya hivyo..............kumuita Dr. Nzuki bogus humtendei haki...yes nimeshahudhuria maonyesho mara nyingi.....kuna vitu viko kabisa Nye ya uwezo wake.....mfano kila maonyesho klazima body member wa TTB,,,,TANAPA na Ngorongoro wewe kwenye deligation......wakifika wanaenda sinzia tu.....nimeshakutana na akina Mahita alipokuwa body member Tanapa.......ni vema tukawa wakweli....ndio mfumo umeoza....na Nzuki asingeweza pambana na huo uozo peke yake
 
Nyalandu ni mtu wa madili na kama Dr Nzuki alikuwa anatia kauzibe kwa wakubwa unategemea Dr atabaki salama? Kikubwa hivi sasa ni Nyarandu kupangua cycle ya waliopita na kupanga upya watu atakaopiga nao dili ndefu kabla ya 2015, Nyalandu hajapewa ile post kwa Qualifications alizonazo bali kwa malengo maalum na nyie subirieni mpaka hapo itakapojidhihirisha kwani naamini Nyalandu akili ya kuona mbali hajabarikiwa kuwa nayo kama mnyama aitwaye fungo na mambo yake yatabumburuka mapema tu!
 
Natural Resources and Tourism Minister Lazaro Nyalandu has demoted Dr Aloyce Nzuki from his former position as Director of Tanzania Tourist Board (TTB) for what has been described as poor performance.


The minister has appointed Devota Mdachi as TTB Acting Director with effect from Monday. Before this appointment, Mdachi served as the board's Director of Marketing.


Speaking to journalists yesterday in Dar es Salaam, Nyalandu said the decision was reached after a recent meeting with various tourism stakeholders including TTB officials, the ministry's deputy minister, Mahamoud Mgimwa and Permanent Secretary Maimuna Tarishi where the consensus was Dr Nzuki has been under performing.



"Nzuki has been demoted with immediate effect…he will be assigned other tasks in the ministry but he is no longer trusted by the board to meet the charges of his office," the minister explained and went on to direct the board to announce the vacancy within 21 days. Home



TTB Board of Directors:
Tanzania Tourist Board has the Board of Directors which is appointed after every three years. The Chairman of the Board is appointed by the President of the United Republic of Tanzania, and the Minister for Natural Resources and Tourism appoints the directors.
Currently, the Board members are:

Ambassador Charles Sanga the new Chairman of the Board of Directors of Tanzania Tourist Board. Other members are who will serve together for three years are Prof. Isaya Jairo of the Institute of Finance Management (IFM); Ms Teddy Mapunda, The Serengeti Breweries Public Relations Director; Hon Abdulkarim Shah, Member of Parliament for Mafia; Hon Kaika Telele, Member of Parliament for Ngorongoro and a tourism sector stakeholder, Mr. Samuel Diah

Ulaji huo wana Jamiiforums pelekeni CV zenu haraka, detail za wapi ukapige lobbying zipo hapo juu ndani ya 'wrap'.
 
Hello,
Mr Nyalandu kama kweli mko serious mnataka mpokee wageni kama mvua na Tz iwe katika amongst world top destinations, chukueni uamuzi mgumu kama walochukuwa kina Seychelles, Mauritius, SA, etc hiyo TTB wapeni wazungu wenye taaluma zao waiendeshe kwa makubaliano maalum yaani baada miaka mitano tutazungumzia arrivals ya 3m+..kuna msemo wa lugha fulani inasema "mpe unga mpika mikate akupikie mikate"
maanake usijifanye mjuaji kutaka kupika mkate wakati si kazi yako..Point ni kuwa soko la hii industry liko kwa hao "ngozi nyeupe" anapokwenda kwao kujitangaza mtu anayeongea nao lugha moja basi matokeo ni tofauti na akienda mtu mwenye asili tofauti na ya kwao..japokuwa budget ya TTB ni ndogo lakini yield yake si ya kuridhisha hata kidogo.
Najua kuna watu watapinga hilo na kusema sijui huo ni ukoloni mamboleo, wengine waseme kumuabudu mzungu, n.k. lakini tukumbuke we must play the game by the rules hiyo ni tactic ya kukubaliana na hali ya soko ilivyokaa na wala haitupunguzii uwezo wetu wa kiutendaji.
Nawasilisha.
Cc to His Excellency JK.
 
Nilimuona DEVOTA katika usahili wa hii post,na chini chini ni kuwa NYARANDU anataka kumpa office awe MD
 
Back
Top Bottom