[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Wewe endelea tu unakosa vingi vizur jana nilitaka nikupe offer uje getho[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Naturally beautiful inatosha piaNgoja nijipodoe kwanza niwe kama msomali
La nin tena?Nasubiria jibu la Mwifwa
Usiku mwemaMimi nataka nilale jaman nimechoka
Hahaa!!!!! Majigambo mengi wakati hata chura hunaUtaaacha lini wivuu mwanaume kama mwanamkeeee
Hamna demmis, mimi na wewe hatuwezi gombana kisa vitu vidogo hivi,take it easy[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kaanzishe uzi basi wa Demiss ni nani upost picha zangu na kila kitu upate likes na comment
Hapo Sasa ndo unakosea kwani mimi na wewe tumegombanaHaya fungasha viragoo vyakoo kaaa mbali na id ya Demiss
Sitak shobo
Case closed.
Hunifikii,baba alijua kutenda miujiza kwangu walahi,usiombe nigeuke[emoji23] waweza sema huu ukuta umewezaje kumoveYani mie nahitaji maombi. Shape straight line na sura ya baba
Nitakupigia kwa video call
Niko mshamba na hizi mambo mimi jamani[emoji23] [emoji23] video kolu zimenipita kushoti hakikaNgoja nijipodoe kwanza niwe kama msomali
Ukija kwenye uzi wangu uje na adabu zakooo maneno ya shombo marufuku labda kama tunajuana mm ukija kishari na mm nakujibu kishari sawa yaonekana wewe ukimjua mtu nje ya jf atakoma sana jijengeee heshimaaa siyo unacomment kama unamtishia nyauuuuuHapo Sasa ndo unakosea kwani mimi na wewe tumegombana
Mama mganga kasemaUkija kwenye uzi wangu uje na adabu zakooo maneno ya shombo marufuku labda kama tunajuana mm ukija kishari na mm nakujibu kishari sawa yaonekana wewe ukimjua mtu nje ya jf atakoma sana jijengeee heshimaaa siyo unacomment kama unamtishia nyauuuuu
Sawa dada angu mimi na wewe tunaheshimiana SanaUkija kwenye uzi wangu uje na adabu zakooo maneno ya shombo marufuku labda kama tunajuana mm ukija kishari na mm nakujibu kishari sawa yaonekana wewe ukimjua mtu nje ya jf atakoma sana jijengeee heshimaaa siyo unacomment kama unamtishia nyauuuuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Niko mshamba na hizi mambo mimi jamani[emoji23] [emoji23] video kolu zimenipita kushoti hakika