Kuongea vizuri

Kuongea vizuri

Richbest

Senior Member
Joined
May 23, 2011
Posts
101
Reaction score
24
Habar wadau mimimni mwanafunzi na napenda kuwa mwalimu hapo baadae ila nashindwa kutofautisha katika matamshi r na l pia the na ze je naweza kubadilika na je ni kwa kufanyaje natanguliza shukran zangu
 
Kama wewe na Mkurya na umekulia kule ukuryani tatizo lako la R halina ufumbuzi we kafundishe hivo hivo utaeleweka tu na kama ni ndugu yangu wa Katavi na wewe L ndo tatizo wewe nenda hivo hivo watakuelewa tu mbele ya safari
 
Back
Top Bottom