kuongeza speed kwenye pc yangu

Dio

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
1,274
Reaction score
159
inakuwaje wakubwa? natanguliza shukrani zangu za dhati kwa wana jf wote
tatizo langu ni kwamba natumia simu kama modem kwa sasa speed inanionyesha kuwa ni 921.6 kbp,kiukweli sijaridhishwa na speed yake je kuna uwezekano wa kuongeza speed?
 
labda simu ina uwezo mdogo wa transfer and receiving of data..
 
hzo 921.6 kbps ndo spidi unayopata?au ndo uwezo wa cm wa kupitisha data? Cuz kama ndo spidi unayopata cjui kwa nn unalalamika akat hata wngne hawapat 250 kpbs! Labda ucku wa manane!
 
labda simu ina uwezo mdogo wa transfer and receiving of data..

inawezekana hvyo? Mm nimeuliza ili nijue labda kuna uwezekano wa kufanya hvyo.
 
Ndio speed ninayoipata,kwhyo mkuu unataka kuniambia hii speed ni fresh tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…