hii mbona rahisi sana. fakamia mivyakula kila ukipata nafasi unakula......machipsi, makuku, mapilao, makeki nk wewe wakati wote unakuwa mtu wa kutafuna tafuna:A S wink:
halafu pia unajifunza kunywa beer na vya kusindikizia kibao...supusupu, kiti moto nk. Kama huwezi beer kwako ni chungu basi kunywa mvinyo wa dodoma.
halafu uwe mama/baba lao la uvivu, kazi yako iwe moja tu kula & kunywa sana sana na safari za msalani, zaidi ya hapo unakuwa mtu wa kupumzika tu kwenye kitanda/mkeka/kochi unajipweteka LOL