The Initiator huru
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 1,993
- 2,635
Wakuu hali ni mbaya, joto limeongezeka maradufu , sehemu nilipo niewasha feni ila joto linasoma nyuzi joto 29C hali ni mbaya kunyweni maji mengi sana. Noamba kuwasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani unasema 29* wakati sisi huku tuliozoea baridi na mvua tunapigika hadi 35*Wakuu hali ni mbaya, joto limeongezeka maradufu , sehemu nilipo niewasha feni ila joto linasoma nyuzi joto 29C hali ni mbaya kunyweni maji mengi sana. Noamba kuwasilisha
Nimefurahi ulipotoa ushauri, watu wanywe maji mengiWakuu hali ni mbaya, joto limeongezeka maradufu , sehemu nilipo niewasha feni ila joto linasoma nyuzi joto 29C hali ni mbaya kunyweni maji mengi sana. Noamba kuwasilisha
Na maji ruvu yapo ya ugoko
Twafaaa dsm maji hayatoki miezi
wifi zenu hatuwaingiliii kunatokota
Ooh kumbe! Sasa mbona wataalamu huko serikalini hawatuambiiNchi yetu inapata jua la utosi mwez wa kumi ma moja kuelekea wa kumi na mbili. Na mwezi wa pili kuelekea wa tatu. Hayo ndiyo majira ya joto kali.
Nyie watu wanakata miti maporini kutengeneza mikaa mnategemea mpate hali nzuri ya hewa!KUNA WATU WAMEKULA HELA ZA MRADI WA MVUA
Usiku ndio hakulaliki, unaoga ukijifuta kidogo joto tena unarudi kuoga
mchana ndio usiseme kama huna AC AU FENI ndio balaa