MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Huyo konokono ndie huwatoa kamasi kwenye ligi yenu, show some respect dogo.Kuna mdau ameandika, viungo wa Simba wengi ni wafupi Sasa inaleta shida kumuona mzungu ambaye ni mrefu, ukiachilia mbali Chama uchezaji wake ni taratibu kama konokono Mzee.
Haiwezekani Mechi kama ya Jana timu isipige ata shuti Moja lililo lenga lango[emoji3][emoji3][emoji3]
Taja hayo mapungufu na unadhani hayawezi kurekebisha ?Kikosi kina Mapungufu makubwa na ya Kimsingi na hata Kocha Mkuu Zoran Maki ni tatizo na natabiri anaweza Asile nasi Watanzania Krismasi ijayo.
Mpaka sasa Simba SC haijanivutia.
Na ikija kwenye mechi za derby, huyo konokono amekuwa akipata wakati mgumu sana kutoka kwa kale kadogo kazanzibari, kiasi cha kushindwa hata kumaliza dk. 90 za mchezo.Huyo konokono ndie huwatoa kamasi kwenye ligi yenu, show some respect dogo.
Simba ndio inatakiwa ivutiwe na wewe, ukiona vinginevyo ujue wewe haupo beauty beautyMpaka sasa Simba SC haijanivutia.
Nasisitiza tena, Simba tumewekeza kwenye soka la Wanawake tu, la Wanaume baada ya muda tutaachana nalo.Kikosi kina Mapungufu makubwa na ya Kimsingi na hata Kocha Mkuu Zoran Maki ni tatizo na natabiri anaweza Asile nasi Watanzania Krismasi ijayo.
Mpaka sasa Simba SC haijanivutia.
Na timu ndogo ndio nyingi kwenye ligiNa ikija kwenye mechi za derby, huyo konokono amekuwa akipata wakati mgumu sana kutoka kwa kale kadogo kazanzibari, kiasi cha kushindwa hata kumaliza dk. 90 za mchezo.
Ila kwenye mechi na timu ndogo, nakubali huyo konokono huwa anakiwasha kweli.
baada ya muda, ila sio sasa. Kwa sasa robo fainali za CAF clubs ni sawa na kutoka Muhimbili kwenda FireNasisitiza tena, Simba tumewekeza kwenye soka la Wanawake tu, la Wanaume baada ya muda tutaachana nalo.
Ila najua jinsi ulivyo Mpumbavu zaidi.Hujui mpira
huyo mzanzibari mechi anayoiwaza ni moja tuu, ndo maana bado ni kinda ila hata nje haendi maana hana uwezo wa kucheza huko, hata timu ya taifa anaruka ruka tuuNa ikija kwenye mechi za derby, huyo konokono amekuwa akipata wakati mgumu sana kutoka kwa kale kadogo kazanzibari, kiasi cha kushindwa hata kumaliza dk. 90 za mchezo.
Ila kwenye mechi na timu ndogo, nakubali huyo konokono huwa anakiwasha kweli.
Simba haiwezi kuvutia woteKikosi kina Mapungufu makubwa na ya Kimsingi na hata Kocha Mkuu Zoran Maki ni tatizo na natabiri anaweza Asile nasi Watanzania Krismasi ijayo.
Mpaka sasa Simba SC haijanivutia.
Kiongozi mawazo yako mazuri. Hadi sasa umevutiwa na tim gani NBC premium league?Kikosi kina Mapungufu makubwa na ya Kimsingi na hata Kocha Mkuu Zoran Maki ni tatizo na natabiri anaweza Asile nasi Watanzania Krismasi ijayo.
Mpaka sasa Simba SC haijanivutia.
Ruvu Shooting FC.Kiongozi mawazo yako mazuri. Hadi sasa umevutiwa na tim gani NBC premium league?