Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Kipo MkuuNi ngumu kuamini km kitu hicho kipo
Ni kitu kigumu kutokea Ila kipo ,mara nyingi watu wanaomba ikiwa tayari Wana watu wao na hutokea wanawaota haohao watu wao .Kipo Mkuu
Kipo kinatokea ishawahi kunitokeaNi kitu kigumu kutokea Ila kipo ,mara nyingi watu wanaomba ikiwa tayari Wana watu wao na hutokea wanawaota haohao watu wao .
Aya Tupe ushuhuda japo kidogo ilikuwaje mkafikia wapi na mpo wapi na huyo mke wako?Kipo kinatokea ishawahi kunitokea
π€£π€£π€£ miaka 9 ulikuwa unaomba Mungu akupe mume?!Ni kweli jaman wakat me Niko mdogo nilikuwa naomba niolewe na mwanaume mwema mwenye dini kila nikiswali " sasa kuna kipindi nikamuota mkaka mmoja mweusi half alikuw mkubwa sana kwangu nna simfaham pia"
nilkuw n miak9. Wakati huwo
Basi toka siku hiyo niliamin ndoto yangu n kweli yule nilie muona nd alie niowa yey34. Mimi20
Ni imani tuu.
Ndyo mkuuπ€£π€£π€£ miaka 9 ulikuwa unaomba Mungu akupe mume?!
Tunashukuru kwa kambaNi kweli jaman wakat me Niko mdogo nilikuwa naomba niolewe na mwanaume mwema mwenye dini kila nikiswali " sasa kuna kipindi nikamuota mkaka mmoja mweusi half alikuw mkubwa sana kwangu nna simfaham pia"
nilkuw n miak9. Wakati huwo
Basi toka siku hiyo niliamin ndoto yangu n kweli yule nilie muona nd alie niowa yey34. Mimi20
Ni imani tuu.
Hii nchi na raia wake iuzwe, yani kitoto cha miaka tisa la tatu hapo unakiombea Mungu kikue vema kumbe chenyewe kinajiombea mmeπ€£π€£π€£ miaka 9 ulikuwa unaomba Mungu akupe mume?!
Ngoja nimuondoleee lock ya upupu kwanza, nitawaletea ushuhuda niwatie moyo ili pia wasizubae sana kama ndugu yao hapaIle ndoto yako emu tushirikishe wadau basi Certified Hater ππ
Yani pale aliposema "niolewe n mwanaume mwema mwenye dini kila nikiswali' hii ilitosha kusoma na kumaliza alichoandika bila hata kusoma tena, kwa imani yake.π€£π€£π€£ miaka 9 ulikuwa unaomba Mungu akupe mume?!
Lock ya upupu iz killin my ribs π ππ em nilale,, usiku mwema tajiri anguNgoja nimuondoleee lock ya upupu kwanza, nitawaletea ushuhuda niwatie moyo ili pia wasizubae sana kama ndugu yao hapa
Aisee!! Hongera sana!!Ndyo mkuu