Kuosha Vyombo

Mwanakijiji

Wacha ubahili kanunue mashine ya kuosha vyombo.

BTW hivi serikali zetu bado zinaajiri wafanyakazi wa kufagia ofisi, kupika chai, madereva nk. kazi nyingine bana ndio sababu wafanyakazi wanadumaa, kazi za kupika chai maofisini sio za kuajiri mtu au kila boss kuwa na dereva wake tufike mahali tubadilike na kuondoa adha ya kutegemea shughuli kama hizi kufanywa na mtu mwingine. How do they do it in Europe? Hili ni zigo jingine kwa walipa kodi.
 
...Je, na yule anayekosha chombo kabla hajapakua, ni hila au tabia?

Hahahahha Mbu hii itakuwa katika kuitayarisha njaa...............si unajua kama hotelini vile wanaanza kukunawisha, wanaleta appetizers nusu au saa moja kabla ya chakula kuja!! Lol

Hebu tusipoteze uelekeo wa thread..................Mwanakijiji kasema ni vyombo vya kawaida.

Zamu si zamu??
 
Reactions: Mbu


Wacha hata ukiangalia ile report iliyotolewa na mkaguzi wa hesabu za serikali Bwana Uttouh....na badget zetu pesa nyingi zineelekezwa kwenye chai na warsha ......but on the second thought............ ukileta mimashine sijui mwaiita coffee makers ni watanzania wangapi watakosa ajira?? watakuwa redundant?? na ukichukulia uwezo wetu mdogo wa kucreate employment .................hawa wote watakuwa mzigo wa wafanyakazi wachache watakao bakia..........watu tutaigomea P.A.Y.E hapa itakuwa balaa..... naamini bado hatujafika huko.
 

Ha haa haa. Mwanakijiji vipi kama ilikuwa ni takeaway or fast food?
 

unajitetea ee? LOL...mwenzio kwa msisitizo Vyombo naipigia mstari. Asiyetaka kukubali maana shauri yake.
"mwenye njaa hana miiko," na "mwosha huoshwa!"
 
Mwanakijiji si ututegulie kitendawili mkuu, maana hapa wewe ukionekana kwenye hili jukwaa basi unaletaga thread zenye "utata".
 
Hahaha unaona sasa, Mwanakijiji watu wameingia mkenge walikuwa wanatafsiri vingine
 

Unajua Nyani we mjanja sana; wewe ndio umewapandikizia watu wazo fulani halafu ukakaa pembeni unawashangaa wanavyovingirishana nalo kama yale madudu ambayo huvingirisha mavi ya ng'ombe kwa kuyasukuma kwa miguu ya nyuma! Halafu baadaye unawashangaa!
 
Mwanakijiji si ututegulie kitendawili mkuu, maana hapa wewe ukionekana kwenye hili jukwaa basi unaletaga thread zenye "utata".

duh kwa kweli mnanilaumu bure tu.. watu wenyewe ndio wanamatatizo. Miye nimeuliza kitu kiko wazi kabisa; wengine wenye mawazo tata ndio hao wakaanza "zikapanda zikashuka" huku wengine wanatabasamu na kujisikia sikia hivi..
 
duh kwa kweli mnanilaumu bure tu.. watu wenyewe ndio wanamatatizo. Miye nimeuliza kitu kiko wazi kabisa; wengine wenye mawazo tata ndio hao wakaanza "zikapanda zikashuka" huku wengine wanatabasamu na kujisikia sikia hivi..


Sawa sawa kabisa maana kwa sisi tuliosoma yale masomo ya Maarifa ya nyumbani au was it Sayansi Kimu tumeelewa na sharti baada ya vyombo kukoshwa shurti viwekwe kwenye chanja na hata maji yakauke na vizuri haya majukumu yasiachwe kwa watoto wa kike tu bali wa kiume zamu ni jambo muafaka kabisa, tulipokuwa wadogo tulikuwa na zamu kibao ya kuondoa vyombo, kukosha hata kuandaa chakula.
 
Mh hiki chombo oshwa kisiwe kifanyiro changu? by the way mie naosha na mama anaosha chombo chake after MLO stahimilifu....
 
Mkuu kuosha vyombo kwaitaji kolabo, mwenyewe n ngumu!
 
Mwanakijiji Kama nimekuwa nikizielewa makala zako mahili na
hakika leo sijabadilika na kushindwa kuelewa maudhui yako.

Ni wazi ulishatoa kidokezo hapo chini nilipo kunakili kuwa swali
ni la kizushi. Maneno, "sijui kama" ni kufumba ili kuondoa
ukali wa maneno swali la kizuishi au uchokozi.

Sijui kama ni swali la kizushi au uchokozi:
 

Hivi nani anaweza kutueleza kwa vielelezo kuwa aliyeamini ni vyombo vya ndani au aliyechukulia ni vyombo vya kibailojia (kama mimi) nani yuko sahihi na akatumia hivyo vielelezo kutoa alama (marks) zisizo na utata? Naamini hata Mwanakijiji mwenyewe hawezi.

Ila pia sina shida kuwa miongoni mwa wale tulioonekana tunawaza sana ngono...kwani naamini ndiyo inafanya maisha yawe kama yalivyo (especially kwa upande wangu). Hata sijui maisha bila hiyo kitu yangekuwaje au kama yangekuwa na maana yoyote kwangu!!

Huyo ni mimi......Mzee DC.
 

Aaaah DC usiwe hivyo bana....hapa ilikuwa kufurahi tu.
 
Kila mmoja akaoshe vyombo alivyotumia mwenzie....! Japo kwa kutumia beseni moja, sabuni moja... na hata kuvifuta kwa kutmia kitambaa kimoja...!
 
Aaaah DC usiwe hivyo bana....hapa ilikuwa kufurahi tu.

Najua mkuu....... ila tena wewe ndo umelianzisha, ... halafu tunaonekana tunapenda sana ngono na hadithi zinazohusiana nazo....!!!!!

Don't take it serious or personal ...ilikuwa ni kutaka kuweka mambo sawa......Hata hivyo mimi binafsi napenda sana hiyo kitu na ukipagusa unaweza kunitoa kwenye mstari......LOL!!
 
mim nilijua tokea mwanzo ni vyombo vya mezani,niliwashangaeni saaaaana kudhani hili ni fumbo,
mim kama mim mpenzi wangu akinisaidia kupika hata asiponisaidia vyombo sitamlaumu,sbb wakaka wengine(hasa wa kibongo) hata jiko hawajui linawashwaje,mke akiumwa kama hakuna housegirl itabidi wale vya kununua,so nikisaidiwa kupika mengine ya jikon nitamalizia mwenyewe bila hiyana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…