Kuota mtu ambaye ashafariki tayari anakufa inaashiria mini?

Kuota mtu ambaye ashafariki tayari anakufa inaashiria mini?

Tajirimsomi

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
4,824
Reaction score
5,587
Usiku wa kuamkia Leo nimeota bibi yangu ambaye ni mama mdogo wa baba yangu anakufa na msiba analetwa maenoe ya nyumbani.
Sinaelewa iyo ndoto imetokana na nini maana hata uyo bibi hatukuwa na ukaribu japo namfahamu hata sikuwai kumuwaza.

Vile vile kwenye lile eneo nimewahi kuota tawi la mti mkubwa mjuju/mgabiro unakatika unataka kunidodokea ila nilikimbia Sana haukuweza kunigusa.

Naombeni msaada hizi ndoto zinaashiria nn?
 
Ukiota mtu aliyekufa maana yake unatakiwa UMUUOMBEE DUA kwa MUNGU...hakuna jingine...ila ilo TAWI la mti kama kingekupiga basi ujuwe UCHAWI UMEKUPATA....na pia jifunzr kuangalia saa unapoota ndoto.....kuanzia saa nane na tisa usiku hiyo ndoto utakayoota ifanyie kazi...95 huwa kweli
 
Ukiota mtu aliyekufa maana yake unatakiwa UMUUOMBEE DUA kwa MUNGU...hakuna jingine...ila ilo TAWI la mti kama kingekupiga basi ujuwe UCHAWI UMEKUPATA....na pia jifunzr kuangalia saa unapoota ndoto.....kuanzia saa nane na tisa usiku hiyo ndoto utakayoota ifanyie kazi...95 huwa kweli
Amen mtumishi
 
Back
Top Bottom