Kuota ndoto ya kioo kilichopasuka

Kuota ndoto ya kioo kilichopasuka

Bunchari

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2017
Posts
558
Reaction score
661
Habari wakuu

Ndoto zinaweza kuwa na umuhimu kwa watu fulani na wengine hapana, hivyo Kila mtu yupo upande anaoamini.

Usiku wa kuamkia Leo nimeota nipo nusu uchi natembea nikipishana na watu nikaelekea mahali kuchukua kioo nilikua nimekua nikakuta kimevunjika nusu kipo chini nusu nikabaki nacho mkononi,nini tafsiri yake??

N:B kuhusu changamoto na misukosuko ktk maisha yangu hapa ni nyumbani kwao Nina PhD

Nawasilisha.
 
Au thermos yaani chupa ya kuweka chai, uji, etc Ili visipoe
 
Nusu uchi ama uchi hadharani ni kudhalilika ama kuaibika.

Kioo huwakilisha nafsi yako, kuvunjika kwake ni kuvunjika kwa ari/utu wako.

Sio ndoto nzuri kwa mujibu wa kitabu cha ndoto. Mimi binafsi sijui.

Mimi si mnajimu ama mfasiri ndoto, nina kitabu cha ndoto na maana zake.
 
Habari wakuu

Ndoto zinaweza kuwa na umuhimu kwa watu fulani na wengine hapana, hivyo Kila mtu yupo upande anaoamini.

Usiku wa kuamkia Leo nimeota nipo nusu uchi natembea nikipishana na watu nikaelekea mahali kuchukua kioo nilikua nimekua nikakuta kimevunjika nusu kipo chini nusu nikabaki nacho mkononi,nini tafsiri yake??

N:B kuhusu changamoto na misukosuko ktk maisha yangu hapa ni nyumbani kwao Nina PhD

Nawasilisha.
Habari wakuu

Ndoto zinaweza kuwa na umuhimu kwa watu fulani na wengine hapana, hivyo Kila mtu yupo upande anaoamini.

Usiku wa kuamkia Leo nimeota nipo nusu uchi natembea nikipishana na watu nikaelekea mahali kuchukua kioo nilikua nimekua nikakuta kimevunjika nusu kipo chini nusu nikabaki nacho mkononi,nini tafsiri yake??

N:B kuhusu changamoto na misukosuko ktk maisha yangu hapa ni nyumbani kwao Nina PhD

Nawasilisha.Kwa kawaida kuwa na ndoto kuhusu kioo kilichovunjika ni njia ya akili yako ya chini ya fahamu kukuhimiza kufikiria kwa makini zaidi kuhusu uamuzi unaojaribu kufanya, kuwa mwangalifu zaidi, au kuacha tu jambo fulani na usiwe na wasiwasi sana

Habari wakuu

Ndoto zinaweza kuwa na umuhimu kwa watu fulani na wengine hapana, hivyo Kila mtu yupo upande anaoamini.

Usiku wa kuamkia Leo nimeota nipo nusu uchi natembea nikipishana na watu nikaelekea mahali kuchukua kioo nilikua nimekua nikakuta kimevunjika nusu kipo chini nusu nikabaki nacho mkononi,nini tafsiri yake??

N:B kuhusu changamoto na misukosuko ktk maisha yangu hapa ni nyumbani kwao Nina PhD

Nawasilisha.
Makinika.. Chukua tahadhari..
Kwa kawaida kuota ndoto kuhusu kioo kilichovunjika ni njia ya akili yako ya chini ya fahamu (sub- conscious mind) kukuhimiza kufikiria kwa makini zaidi kuhusu uamuzi unaojaribu kufanya, kuwa mwangalifu zaidi, au kuacha tu jambo fulani na usiwe na wasiwasi sana
 
Habari wakuu

Ndoto zinaweza kuwa na umuhimu kwa watu fulani na wengine hapana, hivyo Kila mtu yupo upande anaoamini.

Usiku wa kuamkia Leo nimeota nipo nusu uchi natembea nikipishana na watu nikaelekea mahali kuchukua kioo nilikua nimekua nikakuta kimevunjika nusu kipo chini nusu nikabaki nacho mkononi,nini tafsiri yake??

N:B kuhusu changamoto na misukosuko ktk maisha yangu hapa ni nyumbani kwao Nina PhD

Nawasilisha.
Habari wakuu

Ndoto zinaweza kuwa na umuhimu kwa watu fulani na wengine hapana, hivyo Kila mtu yupo upande anaoamini.

Usiku wa kuamkia Leo nimeota nipo nusu uchi natembea nikipishana na watu nikaelekea mahali kuchukua kioo nilikua nimekua nikakuta kimevunjika nusu kipo chini nusu nikabaki nacho mkononi,nini tafsiri yake??

N:B kuhusu changamoto na misukosuko ktk maisha yangu hapa ni nyumbani kwao Nina PhD

Nawasilisha.Kwa kawaida kuwa na ndoto kuhusu kioo kilichovunjika ni njia ya akili yako ya chini ya fahamu kukuhimiza kufikiria kwa makini zaidi kuhusu uamuzi unaojaribu kufanya, kuwa mwangalifu zaidi, au kuacha tu jambo fulani na usiwe na wasiwasi sana

Habari wakuu

Ndoto zinaweza kuwa na umuhimu kwa watu fulani na wengine hapana, hivyo Kila mtu yupo upande anaoamini.

Usiku wa kuamkia Leo nimeota nipo nusu uchi natembea nikipishana na watu nikaelekea mahali kuchukua kioo nilikua nimekua nikakuta kimevunjika nusu kipo chini nusu nikabaki nacho mkononi,nini tafsiri yake??

N:B kuhusu changamoto na misukosuko ktk maisha yangu hapa ni nyumbani kwao Nina PhD

Nawasilisha.
Makinika.. Chukua tahadhari..
Kwa kawaida kuota ndoto kuhusu kioo kilichovunjika ni njia ya akili yako ya chini ya fahamu (sub- conscious mind) kukuhimiza kufikiria kwa makini zaidi kuhusu uamuzi unaojaribu kufanya, kuwa mwangalifu zaidi, au kuacha tu jambo fulani na usiwe na wasiwasi sana
 
Mtu akianzisha huduma ya kutafsiri ndoto kwa kulipia atapiga sana pesa.
 
Mtu akianzisha huduma ya kutafsiri ndoto kwa kulipia atapiga sana pesa.
 
Makinika.. Chukua tahadhari..
Kwa kawaida kuota ndoto kuhusu kioo kilichovunjika ni njia ya akili yako ya chini ya fahamu (sub- conscious mind) kukuhimiza kufikiria kwa makini zaidi kuhusu uamuzi unaojaribu kufanya, kuwa mwangalifu zaidi, au kuacha tu jambo fulani na usiwe na wasiwasi sana
Nimeota pia nipo shule Kuna dada ananiimiza kwa unyenyekevu ninunue simu mimi ili niwenapatikana hewani,mimi nikamjibu simu ninayo labda ntakua nahakikisha inachaji muda wote,nini tafsiri yake?
 
Back
Top Bottom