Kipo juu ya sehemu ya haja kubwa.Kimekuwa kama kipele hapo juu.Wala haarishi.Na hata nimemuuliza kinauma akaniambia hapana(kwani anaweza kuongea).
Magonjwa mengine needs prayer too wakati unaenda hospitali. Ni kibaya hicho kinyama, nimeona kikitibiwa kwa mitishamba ila sikuwahi kujua ni mchanganyiko wa miti gani.
Give yourself hope. Kitapona.
Nawashukuru wote kwa ushauri wenu.Nilimpeleka kwa daktari na amemwandikia dawa ya kunywa na za kupaka.Pia amenishauri kumpa mapapai mara kwa mara.
Ameniambia uvimbe ungekuwa na madhara zaidi kama ungekuwa kwa ndani.
Nawasalimu wote.Jamani binti yangu wa miaka mitatu na nusu ana kanyama kametokea sehemu ya haja kubwa.Wenye utaalamu au kujua naomba mnieleweshe kwamba je kina madhara yoyote ?na kama ni tatizo hili tatizo linasababishwa na nini?na je tiba yake ni nini?
Asante sana.
Hata mimi napenda kukutoa hofu. Ugonjwa huo unatibika na kupona, kuna jamaa yangu alikuwa anaumwa hivyo hivyo alitibiwa akapona. Hiyo dawa ya kupaka itafanya kinyama kinywee na dawa ya kunywa itauwa vidudu kwa ndani
Wanyumbani tutajie hiyo dawa ili tuiatfute kuna mdogo wangu naye anasumbuliwa na hii kitu.