kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Leo nimeota ndoto kama ifuatavyo.
Nimeota nimebeba maiti ya mtu aliyeuliwa nilikuwa nimebeba kwenye gunia.
Cha ajabu hiyo maiti sijui hata nani alimuua hata huo mwili siijui cha ajabu nilikuwa nabeba nachoka nilikuwa nimeambatana na rafiki yangu lakini cha ajabu rafiki yangu alikua hataki kunisaidia kubeba aliniacha nibebe mwenyewe na kwamba eti nilikua napeleka mahali ukazikwe japo sijui ni maiti ya nani.
Hii ndoto ina maana gani? Huwa sioti ndoto za ajabu ajabu kabisa lakini nimeota hivi.
Nimeota nimebeba maiti ya mtu aliyeuliwa nilikuwa nimebeba kwenye gunia.
Cha ajabu hiyo maiti sijui hata nani alimuua hata huo mwili siijui cha ajabu nilikuwa nabeba nachoka nilikuwa nimeambatana na rafiki yangu lakini cha ajabu rafiki yangu alikua hataki kunisaidia kubeba aliniacha nibebe mwenyewe na kwamba eti nilikua napeleka mahali ukazikwe japo sijui ni maiti ya nani.
Hii ndoto ina maana gani? Huwa sioti ndoto za ajabu ajabu kabisa lakini nimeota hivi.