Kuota umebeba maiti kwenye gunia ina maana gani?

Jiwe alishavuta, hiyo kazi ya kuua na kuweka watu kwenye viroba huipati tena.
 
Tafsiri yake ni kwamba umeikimbia CHADEMA kwa ajili ya kumchukia Mdude kwa sababu za kijinga na umeenda kubeba chama mfu CCM.😝😝😝😝😝
 
πŸ˜‚πŸ˜‚Yaani imebidi nicheke tu na hii ndoto yako. Maana hata ukifikiria imekuajekuaje mpaka ukaota hivyo haiji kichwani kwangu na hivyo nashindwa hata kuchangia zaidi ya kucheka. Ila pole kwa hii ndoto. Uzuri ni ndoto na isikupe mawazo sana. Kazi iendelee
 
Tarajia kubambikiziwa kesi ya uhujumu uchumi... na itakusumbua sana...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…