Wakuu heshima kwenu. Naombeni kufahamishwa chanzo halisi na tiba ya tatizo la kuota vinyama sehemu ya haja kubwa, Tatizo hili huambatana na maumivu yanayovuta na kuachia kama vile una kidonda au jipu linalotunga usaha kimaumivu. Je kuna dawa ya kutumia pasipo kufanyiwa operesheni na mtu akapona kabisa?? Naombeni msaada kwa kuzingatia mazingira pia ya kitanzania( hofu yangu ni kukomaa kwa tatizo hadi mtu kulazimika kupelekwa ughaibuni).
Msaada tafadhali
Msaada tafadhali