Kuota vipele chini ya kichogo karibu na shingo hadi kutoa damu.

Kuota vipele chini ya kichogo karibu na shingo hadi kutoa damu.

Sharp lady

Senior Member
Joined
Feb 23, 2011
Posts
129
Reaction score
13
Hi wadau Naombeni ushauri kwa yeyote anafahamu dawa ya kuponyesha vipele vinavyoota chini ya kichwa na kufikia hatua ya kutoa damu na mara nyingine inakuwa vigumu sana hata kuchana nywele. Nina ndugu yangu wa karibu amesumbuliwa na tatizo hili kwa muda sasa. Tadhali naombeni msaada.
 
tatizo naliona kwa watu wengi zamani nilifikiri ni matatizo wakati wa kuzaliwa
 
Back
Top Bottom