Kuotesha uyoga - Naomba msaada na hii changamoto

ThnkingAloud

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
546
Reaction score
564
Katika harakati ya kuotesha uyoga nimekumbana na tatizo la inzi. Hata kabla ya uyoga haujajitokeza wamejitokeza lavae wanaotokana na inzi. Nifanyeje wanakula mycelium??!!
Hii ni baada ya kuchemsha ardhi ya uyoga na kupanda mbegu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…