T ThnkingAloud JF-Expert Member Joined Sep 13, 2017 Posts 546 Reaction score 564 Nov 13, 2017 #1 Katika harakati ya kuotesha uyoga nimekumbana na tatizo la inzi. Hata kabla ya uyoga haujajitokeza wamejitokeza lavae wanaotokana na inzi. Nifanyeje wanakula mycelium??!! Hii ni baada ya kuchemsha ardhi ya uyoga na kupanda mbegu.
Katika harakati ya kuotesha uyoga nimekumbana na tatizo la inzi. Hata kabla ya uyoga haujajitokeza wamejitokeza lavae wanaotokana na inzi. Nifanyeje wanakula mycelium??!! Hii ni baada ya kuchemsha ardhi ya uyoga na kupanda mbegu.
buffalo44 JF-Expert Member Joined May 8, 2016 Posts 4,678 Reaction score 11,357 Nov 13, 2017 #2 Kazi kweli ngoja watalang'amu.