mwakifamba
Member
- Sep 7, 2014
- 48
- 15
Habari
kwa mafundi, kupaka upya rangi gari km hii hapa kwa dar inaweza kuwa bei gani. nataka iwe black metallic. Haina mikwaruzo kivile cha muhimu rangi bei yake inaweza kuwa bei gani
Itakuwa vzr nikipata jibu kwa watu wanaojua sio mtu tu ku gesi na kujibu.
View attachment 1325347
UN wamekuuzia huyo mnyama kwa sh. Ngapi mkuu?
dodge
Kama una connection sawa ila kama hauna , tulia kwanza usiulize bei ya rangi na ufundi nenda kayajenge na wahusika wa shirika kwanza ndo ujenafukuzia unhcr huwa wanakiwag na minada nasikia bei zao huwa sio mbaya
Hiyo ni picha ya mfano tu nimeweka. Sema ndio nafukuzia unhcr huwa wanakiwag na minada nasikia bei zao huwa sio mbaya sema sijajua bado ni sh ngapi.
Hiyo ni picha ya mfano tu nimeweka. Sema ndio nafukuzia unhcr huwa wanakiwag na minada nasikia bei zao huwa sio mbaya sema sijajua bado ni sh ngapi.
Kama una connection sawa ila kama hauna , tulia kwanza usiulize bei ya rangi na ufundi nenda kayajenge na wahusika wa shirika kwanza ndo uje