Kupambana na watu wasiojulikana: Ukija kukamatwa na polisi bila uniform na hajaambatana na kiongozi wa eneo husika piga firimbi, kusanya nzi

nafikiri haya matukio inaonekana ni badhi ya wananchi wenye asira kali wamekua wakiyatekeleza rai yangu ni kuzidi kuwakumbusha kufuata sheria za nchi na kuliamini jeshi la polisi
 
Dawa nyingine ni kujizindika kishirikina (Wacha Mungu mnisamehe). Yaani kwamba aliyekuja kukufanyia baya anaparalaizi anashindwa kufanya kilichomleta, au wanateka kiumbe kingine ambacho siyo wewe, au wanakuteka na kukutesa ila kila aliyeshiriki anakufa kwa mateso makali sana baada ya hapo. Mnafikiri Kurjuan haipo?
 

.Raia tafuta upenyo wa kutoa pumzi kwenye tail hata moja
. Hapa juzi kati huko Dodoma ndanindani Raia waliuwa wezi wa ng'mbe pamoja na polisi wasio waaminifu wenye siraha waliokua wanatoa escot
 
Duuh naunga mkono hoja
 
Sio rahisi hivyo unavyowazia, kunaweza kuwa hata na watu wengi na wasikutetee kabisa wakati unachukuliwa kiholela na wasiojulikana.
 
Sio rahisi hivyo unavyowazia, kunaweza kuwa hata na watu wengi na wasikutetee kabisa wakati unachukuliwa kiholela na wasiojulikana.
Ni huko Dar es Salaam ndo mko na hiyo tabia ya kijinga ya kutosaidia mwingine aliye kwenye hatari.
 
Hawa ndugu zetu huruma kweli mishahara kidogo ila kutumika vibaya aaah
 
Kwa ambao tumesikia wamechukuliwa hivi karibuni na hata nyuma kuna ambako umesikia walivunja mlango au walimfata mtu usiku? Hao waliokuwa wananchukuliwa kariakoo si ilikuwa mchana kweupe? Ndugu yake Boniface Jacob alichukuliwa usiku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…