Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nipe loc nije ninunue andazi lako au kitumbuaMafuta Jamani
Mimi mwenyewe naanza kuuza maandazi tsh 200 kwakweli
la bakresa 250Mafuta Jamani
Mimi mwenyewe naanza kuuza maandazi tsh 200 kwakweli
Karibu Sana mpendwala bakresa 250
naomba nije ninunulie kwako
Mafuta yote mwilini hapoMafuta Jamani
Mimi mwenyewe naanza kuuza maandazi tsh 200 kwakweli
😂😂😂😂Nimecheka Kama phallerMafuta yote mwilini hapo
Cheki ulivyojazia
Anza kula chukuchuku dear
Ova
Mrusi lazma awashike makende round hii😅 maana naskia nae ni top producer wa Ngano piaIpo hivi, makampuni meengi ya kutengeneza ngano hapa tz wananunua ngano ya kichele kutoka nchi hizo zenye vita kwa hiyo kwa sasa kuna changamoto ya upatikanaji na usafilishaji hii imepelekea ngano kupanda bei, na kuapandisha ngano bei kumesababisha wateja wapungue, hii imepelekea kampuni kupunguza uzalishaji na hii ikapelekea wale vibarua wanaolipwa kwa day wakose kazi kwa sababu unga umejaa stoo na wateja hawaagizi unajua ukiongeza sh 2000 kwenye kiloba cha kilo 25 yule anaechukua mzigo kama tan 30 sawa na viloba 1200 vya kilo 25 anatakiwa aongeze sh 2,400,000 kutoka awali . Na cc tuanze kulima ngano sasa
Mimi niuzie kitumbua!Mafuta Jamani
Mimi mwenyewe naanza kuuza maandazi tsh 200 kwakweli
Nauza maandazi siyo vitumbuaMimi niuzie kitumbua!
Ukianza kuuza vitumbua nishtue! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125][emoji377][emoji377][emoji377]Mafuta Jamani
Mimi mwenyewe naanza kuuza maandazi tsh 200 kwakweli
Dah umelenga nini hapo mkuu?nipe loc nije ninunue andazi lako au kitumbua
Nchi hii ngano imepanda kabla hata putin hajakinukishaIpo hivi, makampuni meengi ya kutengeneza ngano hapa tz wananunua ngano ya kichele kutoka nchi hizo zenye vita kwa hiyo kwa sasa kuna changamoto ya upatikanaji na usafilishaji hii imepelekea ngano kupanda bei, na kuapandisha ngano bei kumesababisha wateja wapungue, hii imepelekea kampuni kupunguza uzalishaji na hii ikapelekea wale vibarua wanaolipwa kwa day wakose kazi kwa sababu unga umejaa stoo na wateja hawaagizi unajua ukiongeza sh 2000 kwenye kiloba cha kilo 25 yule anaechukua mzigo kama tan 30 sawa na viloba 1200 vya kilo 25 anatakiwa aongeze sh 2,400,000 kutoka awali . Na cc tuanze kulima ngano sasa