Kupanda kwa bei ya vinywaji vya coca cola company

Hii yote ni kwa ajili ya Tisheti na Kofia aliyopewa malari sugu ndio wote tunazilipia miaka 5 ijayo
 
Longlive ... Balimi Extra...Ze Kick... Bingwa...Guiness Lager!!
 

mkuu uwe makini kwa post zako,kumbuka july 31 mwaka huu bunge liliamua kuwa vinywaji baridi,sigara vitapanda bei. Kwa iyo bunge lilishapitisha,kumbuka kuwa aya makampuni yalichelewa kupandsha bei. Usiwe mbishi,NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…