Kupanda kwa bei za pikipiki, the motive behind

DZUDZUKU

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2012
Posts
3,909
Reaction score
2,115
Habari.

Hapa mkoani Mbeya bei za piki piki zimepanda kidogo, mfano Sanlg ilikuwa inauzwa mil.1.7-8 Leo inauzwa mil. 2. Boxer ya mil. 2 sasa inauzwa mil. 2.25.

Napenda kujua the motive behind kwenye hizi bei, je Ni mahitaji ya hizi bidhaa kuongezeka au Ni kupungua kwa hizi bidhaa sokoni au ubora wa bidhaa hizi ndio umepandisha bei au Ni kupanda kwa gharama za maisha?
 
Nadhani ni shauri ya kushuka kwa thamani ya fedha yetu dhidi ya dola ya Marekani.
 

Duh kulala hapana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…