SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Kwa siku za karibuni mtaani tumeshuhudia kupanda kwa bei ya bidhaa mbalimbali kuanzia pembejeo za kilimo (mbolea), sukari, mafuta ya kupikia, mafuta ya vyombo vya moto kwa maana ya dizeli na petroli, gesi majumbani pamoja na bidhaa za vyakula.
Je, sababu ni nini? Siasa au?
Je, sababu ni nini? Siasa au?