Aliesababisha hilo deni kuwa kubwa kesha jitaja mwenyewe sasa anatafuta huruma utafikiri kaambiwa alipe anahoji eti "je ningekufa" kana kwamba kufa kwake ingekuwa pigo kwa watanzania..
Si huko Ulaya wapandishe bei tu washindwe kwenda! kodi iwe kubwa, kukanyaga tu Hosp iwe $ biliion 29,900,000, tuone kama wataenda tena, kama Ulaya wanatupenda kweli enhee!
vinginevyo haya Mazungu nayo mambo mengine yanatengeneza maksudi.