Kupanda kwa garama za ufugaji (with fixed price of broiler meat and eggs)

Kupanda kwa garama za ufugaji (with fixed price of broiler meat and eggs)

Second Lieutenant

Senior Member
Joined
Jan 13, 2014
Posts
143
Reaction score
25
Habri za leo wana JF,

Kwa wale wote tunaofuga tunajua ni kiasi gani chakula cha kuku kimepanda na bado tunategemea chakula cha kuku kuanzia tarehe 1/10/2015 kitapanda kwa ongezeko la 18%,kutokana na hii bidhaa kwa na ongezeko la kodi (VAT).

Kutokana na garama za kuzalisha kuwa juu na bado zitaongezeka,nimejiuliza mambo mengi;

1.Bei ya Broiler na mayai itabakia 5200 kwa broiler na 7000 kwa tray ya mayai?
2.Tanzania hakuna platform or authority inayoregulate price za bidhaa?
3.Wafugaji tuna association ambayo inasimnamia maslahi ya wafugaji? Mpaka sasa imeshafanya juhudi gani katika kutetea maslahi ya mfugaji?
4.Kikao kilichofanyika Ilala club ya wazwee,matamko yake yanaweza kubadilisha bei ya broiler na mayai?Je kulikuwa na wawakilishi toka serikalini na wawakilishi wa chama cha wauza kuku masokoni kama kipo?
5.Maisha bora kwa kila mtanzania tunayapata kwa kuongeza tozo katika kila bidhaa ya kilimo na ufugaji?




Ndugu zangu naombeni tujiulize na tutafakari.
 
Mi pia ni muathirika katka hiyo crises coz nami ni mfugaji...wewe umejiuliza maswali machache kulikuk nilio jiuliza mimi na kukosa majibu...lada mwaweza nisaidia nyinyi kwa wale waelew...

-nini kimesababisha kupnda kw bei ya vyakula wakati mali gafi zote hupatikana hapa nchini...?
-km serekal inahusik na upandaji wa bei, kwanini inafanya na kutufanyia hivi...?
-mbon serekal imekaakimya juu ya hili swala watak inatubembelez tujiajir...?
-km vyakula vitaendelea kuwa hivyo kwann wasituletee watej wao...?
-nini lengo la serekal kwa bei hiz kw wajasiria mali...?

Mi nahis kunanjam za kuvuruga mfumo wa ujasiria mali ili waje na makapuni makubwa makubw wananchi tupat kudhalilik na kuwapigia magoti wakubw...
Sidhan km swal hili litaishughulisha serekal...
 
Mi pia ni muathirika katka hiyo crises coz nami ni mfugaji...wewe umejiuliza maswali machache kulikuk nilio jiuliza mimi na kukosa majibu...lada mwaweza nisaidia nyinyi kwa wale waelew...

-nini kimesababisha kupnda kw bei ya vyakula wakati mali gafi zote hupatikana hapa nchini...?
-km serekal inahusik na upandaji wa bei, kwanini inafanya na kutufanyia hivi...?
-mbon serekal imekaakimya juu ya hili swala watak inatubembelez tujiajir...?
-km vyakula vitaendelea kuwa hivyo kwann wasituletee watej wao...?
-nini lengo la serekal kwa bei hiz kw wajasiria mali...?

Mi nahis kunanjam za kuvuruga mfumo wa ujasiria mali ili waje na makapuni makubwa makubw wananchi tupat kudhalilik na kuwapigia magoti wakubw...
Sidhan km swal hili litaishughulisha serekal...

Hizi garama zimepanda due to several factors but major ones are ;
1.Kupanda kwa maligafi kama mahindi ambayo kilo moja ni 1000/TZS pamoja na Soyabeam ambayo is vattable (processed raw material ),katika uzalishaji wa vyakula vya kuku mahindi ni 50% of all raw materials, Soyabeam ni 15% ,ongezeko la tozo na kupanda kwa mahindi kumefanya production cost kupanda kwa 20%

2.Intoduction of Vat to broiler and layer mash ,so it's mechanism of stabilization


Lakini pamoja na yote hayo Serikali under wizara ya kilimo wamekaa kimya, bei za mayai na broiler iko pale pale ,huu ni mtikisiko mkubwa sanaa especially kwa wale ambao wana mikopo ya kilimo, But najiuliza sanaa hakuna tahasisi or agency zinazoshugulikia maswala ya price regulation ?

Je baada ya yote haya nini mstakabali wetu? Tukumbuke tarehe moja vyakula vya kuku vinakuwa vattable
 
kifo kilee nakiona. Lakini bado kuna mwanga-fanya maamuzi sahihi 25 October!
 
Back
Top Bottom