Juma WALEO
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 204
- 40
Wakuu naomba mnijuze mna mtazamo gan kwa hawa necta maana mimi nawachukulia kama wafanyabiashara tena ya mtu binafsi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uzi nimeuweka hapa kwenye jukwaa la elimu kuhusu hii gharama ya NECTA, mimi ninachofahamu necta ni taasisi ya serikali ambayo kazi yake ni kusimamia mitihani kwenye shule za TANZANIA, na pia huwa na bajeti yake serikalini, hilo ongezeko ambalo halijatolewa ufafanuzi kwenye vyombo vya habari ni vipi?Wakuu naomba mnijuze mna mtazamo gan kwa hawa necta maana mimi nawachukulia kama wafanyabiashara tena ya mtu binafsi!!