Kupanda kwa mafuta na tozo kumepunguza mishara ya watumishi.

Kupanda kwa mafuta na tozo kumepunguza mishara ya watumishi.

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tayari mishahara imeshakatwa Kodi ya mapato (PAYE), hata hivyo unapokwenda kuuchua kwenye Benki ulikowekwa na mwajili wako unakatwa Kodi/tozo tena. Hili ni laana kubwa kwa watumishi wetu. Kama wanataka hivyo ni heri mshahara utolewe dirishani kama zamani ili mtumishi awe na hiyari ya kuuweka mwenyewe Benki kama akitaka au autumzie uchagoni mwa kitanda chake. Kwasasa hivi mtumishi atake asitake lazima akatwe tozo ili kuutia mikono I mwake mshahara wake kutoka kwa mwajili wake. Hii sio sawa hata kidogo, la zivyo PAYE ishuke kidogo.
 
Tayari mishahara imeshakatwa Kodi ya mapato (PAYE), hata hivyo unapokwenda kuuchua kwenye Benki ulikowekwa na mwajili wako unakatwa Kodi/tozo tena. Hili ni laana kubwa kwa watumishi wetu. Kama wanataka hivyo ni heri mshahara utolewe dirishani kama zamani ili mtumishi awe na hiyari ya kuuweka mwenyewe Benki kama akitaka au autumzie uchagoni mwa kitanda chake. Kwasasa hivi mtumishi atake asitake lazima akatwe tozo ili kuutia mikono I mwake mshahara wake kutoka kwa mwajili wake. Hii sio sawa hata kidogo, la zivyo PAYE ishuke kidogo.
 
Kiasi kinachofika mfukoni ni kidogo sana, hand to mouth. Hii maana yake ni kuwa hata viwanda tunavyohimiza vije havitaweza kustawi, kwakuwa uwezo wa wananchi wa kununua bidhaa ni mdogo sana na unazidi kupungua siku hadi siku.
 
Tayari mishahara imeshakatwa Kodi ya mapato (PAYE), hata hivyo unapokwenda kuuchua kwenye Benki ulikowekwa na mwajili wako unakatwa Kodi/tozo tena. Hili ni laana kubwa kwa watumishi wetu. Kama wanataka hivyo ni heri mshahara utolewe dirishani kama zamani ili mtumishi awe na hiyari ya kuuweka mwenyewe Benki kama akitaka au autumzie uchagoni mwa kitanda chake. Kwasasa hivi mtumishi atake asitake lazima akatwe tozo ili kuutia mikono I mwake mshahara wake kutoka kwa mwajili wake. Hii sio sawa hata kidogo, la zivyo PAYE ishuke kidogo.
Yaani katika ukuaji wangu na utambuzi hakuna mtu anayeishi Kama mtoto zaidi ya mfanyakazi na mkulima. Kusoma nimesoma shinikizo la ndugu Ila mie niliipenda biashara tokea nikiwa mdogo mno. Nikiwa STD 6 sifiki shule braza ananifuatilia nyuma Kama nafika shuleni.
Mwishowe kumbe maisha Ni haya ya kupangiwa Kama mtt yaani sipendi niamke kisa nipo kifungoni Bali pale napojsiikia. Hakuna maisha yenye Uhuru jamani acheni tu. Nikijisikia kwenda popote muda wowote nasepa sio adi nikalegeze sauti Kama naomba ruhusa ya kutokuja shuleni.
I don't know Ila kwangu freedom is everything.
 
Yaani katika ukuaji wangu na utambuzi hakuna mtu anayeishi Kama mtoto zaidi ya mfanyakazi na mkulima. Kusoma nimesoma shinikizo la ndugu Ila mie niliipenda biashara tokea nikiwa mdogo mno. Nikiwa STD 6 sifiki shule braza ananifuatilia nyuma Kama nafika shuleni.
Mwishowe kumbe maisha Ni haya ya kupangiwa Kama mtt yaani sipendi niamke kisa nipo kifungoni Bali pale napojsiikia. Hakuna maisha yenye Uhuru jamani acheni tu. Nikijisikia kwenda popote muda wowote nasepa sio adi nikalegeze sauti Kama naomba ruhusa ya kutokuja shuleni.
I don't know Ila kwangu freedom is everything.
Uko sahihi kabisa, hakuna tajiri duniani aliyeajiliwa na mtu mwingine. Hata hivyo kaka yako hakukosea kutaka uende shule maana Mali bila daftari ni upuuzi mtupu.
 
Uko sahihi kabisa, hakuna tajiri duniani aliyeajiliwa na mtu mwingine. Hata hivyo kaka yako hakukosea kutaka uende shule maana Mali bila daftari ni upuuzi mtupu.
Mie nammaindi Mana utumwa ama kutongozwa na mtu huwa sipendi.
Ila bana Kuna baadhi ya Mambo huwa yanatokea Naona kabisa hakukosea.
Ila pote Naona Kuna kuumia ili upate pesa sio lelemama
 
Kila mtu aliyeajiliwa hapa nchini ahueni yake anaipata kwa kuiba Mali ama ya mwajili wake au ya watu anaowahudumia. Hakuna ajira Kuna vibarua, kamshahara kadogooo halafu kanakatwa mara PAYE, mala tozo, mara maji, umeme, vat, ukitoa unakatwa na ukiweka unakatwa na ukinunua pipi unakatwa. Ukichimama nchale ukikaa nchale na hata ukimumunya nchale.
 
Daini hizi pesa kwanza kabla ya kufikiria tozo kwenye miamala
 
Back
Top Bottom