KERO Kupanda kwa nauli holela daladala za Mwanza, mamlaka ziingilie kati

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Mamlaka ziangalie changamoto ya kupanda kwa nauli holela za daladala za Buhongwa Usagara mkoani Mwanza hasa nyakati za jioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…