Rementsere
Member
- Dec 13, 2013
- 10
- 4
Wanajamii
Sidhani kama ni kweli kiwango cha ufaulu kimeongezeka tena kwa kiwango kikubwa hivyo, mfumo uliopo sasa wa GPA ni tofauti na uliokuwepo wa divisions hivyo kiwango cha ufaulu hakiwezi linganishwa kwa usahihi.......
Pia mfumo huu watu hawajauelewa, matokeo yangekuwa yametoka kwa mfumo wa division ingekuwa rahisi kulinganisha. Huu mfumo wa GPA umewapandisha wanafunzi katika ufaulu na si kweli kuwa wanafunzi wameongeza ufaulu hii kitu haipo.........wameazimia kufikia BRN kwa lazima. Hiki ni kiini macho ndugu zangu
Sidhani kama ni kweli kiwango cha ufaulu kimeongezeka tena kwa kiwango kikubwa hivyo, mfumo uliopo sasa wa GPA ni tofauti na uliokuwepo wa divisions hivyo kiwango cha ufaulu hakiwezi linganishwa kwa usahihi.......
Pia mfumo huu watu hawajauelewa, matokeo yangekuwa yametoka kwa mfumo wa division ingekuwa rahisi kulinganisha. Huu mfumo wa GPA umewapandisha wanafunzi katika ufaulu na si kweli kuwa wanafunzi wameongeza ufaulu hii kitu haipo.........wameazimia kufikia BRN kwa lazima. Hiki ni kiini macho ndugu zangu